Na PIUS MAUNDU ALIYEKUWA mbunge wa Kamukunji na mpiganiaji wa mfumo wa vyama vingi vya kisiasa George Geoffrey Wilson Nthenge alizikwa...
Na KNA WAKAZI wa Nyeri, sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kujishughulisha na jinsi Wakenya watakavyomkumbuka baada ya kustaafu badala...
Na FLORAH KOECH WAKAZI katika maeneo yanayokabiliwa na visa vya wizi wa mifugo katika Kaunti ya Baringo wameelezea hofu kwamba hatua ya...
Na CHARLES WASONGA HOSPITALI ya Mafunzo, Utafiti na Rufaa ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KUTRRH) imetangaza kuwa imelemewa na idadi kubwa...
GEORGE MUNENE na WINNIE ONYANDO WABUNGE sita kutoka eneo la Mlima Kenya wameshutumu serikali kwa kutowachukulia hatua waliowaua ndugu...
Na RICHARD MUNGUTI POLISI walilazimika kufyatua risasi mara tatu kuwashtua genge la majambazi saba waliokuwa wanaiba parachichi katika...
Na RICHARD MUNGUTI KAMISHNA wa kaunti ya Nakuru Bw Erastus Mbui ameagizwa afike kortini kujitetea asisukumwe jela kwa kukaidi agizo la...
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyejitia wazimu na kutisha kumuua mwanamke aliyekataa wakichumbiana ameshtakiwa. Polycarp Nyaosi Momanyi...
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE aliyemrarua rarua bintiye kwa makucha mithili ya chui mtu alishtakiwa kwa kumtesa mtoto. Hakimu mwandamizi...
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wawili wa ujambazi waliokamatwa na simu na bidhaa walizomnyang’anya mwanafunzi wa chuo kikuu wameshtakiwa...
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa kijeshi (KDF) aliyetimuliwa kazini atatumikia kifungo alipokiri shtaka la kujitambulisha kuwa afisa wa...
Na RICHARD MUNGUTI MJAKAZI aliyeiba mikufu ya dhahabu iliyo na thamani ya Sh300,000 na kufungwa miaka miwili jela hajakata rufaa. Rebeca...