• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 5:55 PM

Mpiganiaji demokrasia Nthenge azikwa kwake bila mbwembwe

Na PIUS MAUNDU ALIYEKUWA mbunge wa Kamukunji na mpiganiaji wa mfumo wa vyama vingi vya kisiasa George Geoffrey Wilson Nthenge alizikwa...

Wakazi wataka Rais aepuke siasa za urithi

Na KNA WAKAZI wa Nyeri, sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kujishughulisha na jinsi Wakenya watakavyomkumbuka baada ya kustaafu badala...

Wakazi wahofia vita vya jamii za wafugaji

Na FLORAH KOECH WAKAZI katika maeneo yanayokabiliwa na visa vya wizi wa mifugo katika Kaunti ya Baringo wameelezea hofu kwamba hatua ya...

Hospitali yakiri kulemewa na wagonjwa wa corona

Na CHARLES WASONGA HOSPITALI ya Mafunzo, Utafiti na Rufaa ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KUTRRH) imetangaza kuwa imelemewa na idadi kubwa...

Ndugu waliouawa na polisi wazikwa wengine wanne wakiuawa Kajiado

GEORGE MUNENE na WINNIE ONYANDO WABUNGE sita kutoka eneo la Mlima Kenya wameshutumu serikali kwa kutowachukulia hatua waliowaua ndugu...

Wezi wa parachichi wasakwa Kakuzi

Na RICHARD MUNGUTI POLISI walilazimika kufyatua risasi mara tatu kuwashtua genge la majambazi saba waliokuwa wanaiba parachichi katika...

Kamishna wa Kaunti ya Nakuru aagizwa kufika Kortini

Na RICHARD MUNGUTI KAMISHNA wa kaunti ya Nakuru Bw Erastus Mbui ameagizwa afike kortini kujitetea asisukumwe jela kwa kukaidi agizo la...

Mwanamme ashtakiwa kutisha kuua mwanamke akiyekataa wakichumbiana

Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyejitia wazimu na kutisha kumuua mwanamke aliyekataa wakichumbiana ameshtakiwa. Polycarp Nyaosi Momanyi...

Mwanamke ashtakiwa kumdhulumu bintiye

Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE aliyemrarua rarua bintiye kwa makucha mithili ya chui mtu alishtakiwa  kwa kumtesa mtoto. Hakimu mwandamizi...

Waliompora mwanafunzi washtakiwa

Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wawili wa ujambazi waliokamatwa na simu na bidhaa walizomnyang’anya mwanafunzi wa chuo kikuu wameshtakiwa...

Asukumwa jela miaka miwili kwa kupatikana na pingu

Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa kijeshi (KDF) aliyetimuliwa kazini atatumikia kifungo alipokiri shtaka la kujitambulisha kuwa afisa wa...

Yaya afungwa miaka miwili kwa kuiba mikufu

Na RICHARD MUNGUTI MJAKAZI aliyeiba mikufu ya dhahabu iliyo na thamani ya Sh300,000 na kufungwa miaka miwili jela hajakata rufaa. Rebeca...