Na LAWRENCE ONGARO WIZI wa pikipiki za bodaboda, umezidi katika kijiji cha Witeithie kilichoko Juja, Kaunti ya Kiambu. Wahudumu wa...
Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Mating’i amepuuzilia mbali madai kuwa serikali ya Kenya imeomba msamaha Uturuki...
Na SAMMY WAWERU KAKA wawili wanaodaiwa kufariki mikononi mwa maafisa wa polisi katika hali isiyoeleweka Embu wanazikwa leo,...
Na MAUREEN ONGALA KWA zaidi ya miaka 60, machifu katika eneobunge la Ganze wamekuwa wakitumia ofisi zilizojengwa na mkoloni. Baadhi...
Na SAMMY WAWERU MRATIBU wa eneo la Bonde la Ufa George Natembeya ameamuru kwamba vituo vyote vya pombe vifungwe kijijini Hodi Hodi,...
Na LAWRENCE ONGARO KUNA umuhimu wa kuelewa maisha ya mtoto mchanga anapozaliwa hadi miaka mitano, kwa minajili ya maisha ya...
Na WINNIE ONYANDO KONGAMANO la ugatuzi linalotarajiwa kufanyika mwezi huu wa Agosti sasa litahudhuriwa na watu 1,000 waliochanjwa kama...
Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru ametahadharisha wakazi kuhusu ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona katika kaunti...
Na SAMMY KIMATU WANAFUNZI na wafanyakazi ni miongoni mwa watu wanaohangaika baada ya daraja moja kusombwa na maji katika Eneo la...
Na VICTOR RABALLA WIZARA ya Elimu imeamrisha walimu wakuu warejeshe pesa ambazo wamezipokea kwa njia ya haramu au kuziongeza kama karo...
Na SAMMY KIMATU WAFANYABIASHARA katika soko la Muthurwa, Kaunti ya Nairobi wamepigwa jeki na Idara ya Huduma za Jiji (NMS) baada ya...
Na PHILIP MUYANGA MAHAKAMA ya kusikiliza kesi za ufisadi imelalamikia mienendo ya mawakili wa Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa na...