Na DAVID MWERE MSWADA unaopendekeza kuteuliwa kwa mwakilishi wa wazee na kufutiliwa mbali kwa wadhifa wa wawakilishi wanawake ni kati ya...
Na SAMMY WAWERU SERIKALI za kaunti zimehimizwa kutengea sekta ya kilimo na ufugaji fedha za kutosha ili kuiboresha. Katibu Mkuu...
Na PETER CHANGTOEK Uongezaji wa thamani kwa mazao ni biashara ambayo husaidia wakulima na wafanyibiashara kuongeza mapato wanayoyapata...
NA PETER CHANGTOEK PRISCAH Wangari, 28, alisomea shahada ya Uratibu wa Miradi na Usimamizi katika Chuo Kikuu cha Moi....
Na MASHIRIKA Tafsiri: SAMMY WAWERU. SERIKALI ya Kaunti ya Kisumu imezika miili 61 iliyokosa wenyewe, kufuatia agizo la...
Na MASHIRIKA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga ameitaka idara ya polisi (NPS) na mahakama kufanya kila wawezalo kuangazia kero ya watoto...
Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO MSHAMBULIAJI Marcus Rashford huenda akakosa kuwajibikia waajiri wake Manchester United kwa...
Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO BEKI wa zamani wa Manchester United, Gabriel Heinze, 43, amepokonywa mikoba ya ukufunzi kambini mwa...
Na GEOFFREY ONDIEKI Watu wawili wameuawa kwenye shambulizi kali la wizi wa mifugo eneo la Marti katika kaunti ya...
Na GEOFFREY ANENE KAMBI ya Kenya Lionesses imejaa furaha inapolenga kushiriki Kombe la Afrika la mpira wa vikapu la kinadada (AfroBasket)...
Na RUSHDIE OUDIA HATUA ya Wakenya kutojifunza kutokana na mikasa iliyopita ambapo mamia ya watu waliangamia wakichota petroli baada ya...
Na STEVE NJUGUNA SERIKALI ya Kaunti ya Nyandarua itaanzisha mpango wa kusambaza maziwa yaliyoongezwa madini, kwa watoto waliozaliwa na...