VALENTINE OBARA na MAUREEN ONGALA CHAMA cha ODM kimekashifu wapinzani wake wanaodai kimepoteza umaarufu eneo la Pwani baada ya wanachama...
Na JOHN NJOROGE KANISA la Presbyterian Church of East Africa (PCEA) limepiga marufuku wanasiasa kupiga siasa kanisani muda mfupi baada ya...
Na LEONARD ONYANGO Ikiwa wewe ni kijana na tayari umeanza kuwa na nywele nyeupe kichwani, kuna uwezekano kwamba wewe ni mwathiriwa wa...
Na AFP NEW YORK, Amerika UMOJA wa Mataifa (UN) umesema zaidi ya watu 400,000 wanakumbwa na njaa katika eneo la Tigray, Ethiopia, kutokana...
Na AFP TUNIS, Tunisia WAHAMIAJI 43 walifariki Jumamosi baada ya mashua yao kuzama katika Pwani ya Tunisia, limesema Shirika la Msalaba...
Na MWANDISHI WETU Hadi miaka ya tisini, Kampuni ya Sukari ya Mumias ilikuwa kampuni tajika yenye tija kuu nchini Kenya. Ilikuwa kampuni...
Na MWANDISHI WETU Mpendwa Daktari,Mwanangu mvulana ambaye ametimu umri wa kubalehe ana tatizo la kutokwa na jasho kwenye viganja...
Na AFP MKURUGENZI wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, ameonya kwamba ulimwengu uko katika “kipindi hatari”...
Na WANTO WARUI Ngumi ya tumboni ambayo Chama Cha Kuajiri Walimu nchini (TSC) kiligonga Chama Cha Kutetea Maslahi ya Walimu (KNUT) ilikuwa...
NA CHARLES ONGADI KAMA ilivyo katika soka, mchezo wa drafu umeondokea kuzuzua wengi jimbo la Pwani hasa kutokana na inavyoutia idadi kubwa...
ERIC MATARA na JOHN NJOROGE KAMANDA wa Kituo cha Polisi cha Molo Anne Kanori anatarajiwa kufikishwa kortini leo kwa madai ya kuchukua...
Na AFP ALIYEKUWA rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, anaitaka Mahakama ya Kikatiba nchini humo kutathmini upya hukumu iliyotoa dhidi yake...