• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Kiwanda cha mananasi kujengwa Gatundu Kaskazini

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Gatundu Kaskazini wana sababu ya kutabasamu baada ya kuahidiwa na serikali ya Kaunti ya Kiambu kuwa...

EACC yagonga mwamba katika uchunguzi kuhusu vyeti feki vya elimu

Na LEONARD ONYANGO MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma Noordin Haji amekataa ripoti ya uchunguzi ya Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi...

Kaunti zahimizwa kukumbatia mpango wa kufikisha ushauri wa shughuli bora za kilimo mashambani, VBA

Na SAMMY WAWERU Zaidi ya wakulima 200,000 Kaunti ya Kiambu wamenufaika kupitia mpango wa utoaji ushauri kuimarisha shughuli za kilimo,...

BBI: Karua adai Uhuru alinyakua mamlaka ya raia

Na RICHARD MUNGUTI KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Bi Martha Karua, na wakili mashuhuri John Khaminwa, Ijumaa waliongoza mawakili 10...

Kaunti pwani zapigwa darubini kuhusu miradi hewa

Na WAANDISHI WETU BAJETI ya Serikali ya Kaunti ya Tana River, imekosolewa baada ya kubainika kuwa Sh100 milioni zilitengwa kwa ujenzi wa...

Polisi wawili wafyatuliana risasi wakizozania mwanadada

Na SAMMY WAWERU MAAFISA wawili wa polisi wanauguza majeraha mabaya baada ya kufyatuliana risasi Thika Road, Ijumaa jioni. Duru...

Serikali kuharibu sukari ya Sh1 bilioni kutoka Zimbabwe

Na LEONARD ONYANGO SERIKALI imepanga kuharibu sukari ya thamani ya mamilioni ya fedha kutoka Zimbabwe ambayo imekuwa katika Bandari ya...

Wakazi wa Gatukuyu kupata soko jipya

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa eneo la Gatukuyu lililoko Gatundu Kaskazini, watanufaika kutokana na mradi wa ujenzi wa soko...

Serikali yahimizwa kutilia mkazo miradi ya uongezaji thamani kwa bidhaa za mazao ya kilimo 

Na SAMMY WAWERU SERIKALI imehimizwa kutilia maanani suala la uongezaji thamani mazao mabichi ya kilimo, ili kuepuka uharibifu wa mazao...

Viongozi wa Kiislamu washutumu TSC kutoajiri walimu wengi wa IRE

Na FARHIYA HUSSEIN VIONGOZI wa dini ya Kiislamu kutoka Pwani wameikashifu Tume ya Kuajiri Walimu (TSC) kwa kutoa nafasi chache za walimu...

Waliofungwa jela maisha kwa kuficha gaidi wa al-Qaeda waachiliwa huru

Na PHILIP MUYANGA MWANAMUME na mwanawe ambao walihukumiwa kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kumpa makao gaidi wa kundi...

‘Wanajeshi 11 walioangamia kwenye ajali ya helikopta walikuwa wamejitolea kikamilifu’

Na MARY WAMBUI WANAJESHI 11 walioangamia katika ajali ya helikopta walipokuwa wakifanya mazoezi ya kijeshi walitajwa kama mashujaa kwa...