• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 3:16 PM

Hisia kali zazidi kuibuka kuhusu Kieleweke 5 kuhamia UDA

Na CHARLES WASONGA VIONGOZI jana waliendelea kutoa hisia mseto kuhusu hatua ya wabunge watano wa mrengo wa Kieleweke kuhamia mrengo wa...

Ogier huyo! aongoza timu ya Toyota kunyakua nafasi za kwanza

Na GEOFFREY ANENE SUPASTAA Sebastien Ogier aliongoza wenzake kutoka timu ya Toyota kufagia nafasi tatu za kwanza katika siku ya kwanza ya...

Kananu gavana wa 4 wa kike, Sonko akila hu kortini

Na RICHARD MUNGUTI Bi Anne Kananu atakuwa gavana wa nne mwanamke baada ya mahakama kuu kuidhinisha uteuzi wake na bunge la Kaunti ya...

Ni makosa kulazimishia Wakenya vyama vya kisiasa

Na MARY WANGARI WIKENDI jana, maelfu ya Wakenya walipigwa na butwaa kubaini kwamba wengi wao walikuwa wamesajiliwa kisiri katika vyama...

Polisi wavunja kufuli kusaidia Spika

Na WYCLIFFE NYABERI POLISI jana walilazimika kuvunja makufuli yaliyotumiwa kulifunga lango la watu mashuhuri kwenye majengo makuu ya...

Wavuvi washauriwa wawe waangalifu msimu wa mvua

Na KALUME KAZUNGU MABAHARIA na wavuvi, katika Kaunti ya Lamu wameonywa dhidi ya kutumia njia hatari ndani ya Bahari Hindi wakati huu...

Fahamu nani atakutana na nani kwenye droo kali ya hatua ya 16-bora ya Euro

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO UINGEREZA watavaana na Ujerumani ugani Wembley mnamo Juni 29 kwenye hatua ya 16-bora ya Euro...

Ujerumani kuonana na Uingereza huku Ureno wakipepetana na Ubelgiji katika hatua ya 16-bora

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO MABINGWA watetezi wa Euro, Ureno, walifuzu kwa hatua ya 16-bora ya Euro licha ya kuambulia sare...

Ujerumani kuvaana na Uingereza kwenye hatua ya 16-bora ya Euro

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO UJERUMANI watakutana sasa na Uingereza kwenye hatua ya 16-bora ya Euro baada ya kutoka nyuma...

Man-United kuvunja benki kwa ajili ya Sancho

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO MANCHESTER United wameongeza ofa yao kwa ajili ya huduma za chipukizi Jadon Sancho hadi Sh11.3...

Wazazi walee watoto wao ipasavyo kwani ni amana kutoka kwa Mungu

Na HAWA ALI SIFA zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, Mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyingine ndogondogo. Swala na salamu...

Ronaldo afikia rekodi ya ufungaji bora wa mabao kimataifa

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO CRISTIANO Ronaldo alifunga penalti mbili katika sare ya 2-2 iliyosajiliwa na timu yake ya taifa ya...