• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 3:42 PM

Bunge la Uganda lafungwa kwa wiki mbili kutokana na makali ya corona

Na XINHUA BUNGE la Uganda litafungwa kwa wiki mbili kupisha maafisa wa afya kunyunyizia jengo la bunge dawa ya kuua virusi vya...

Aina mpya ya virusi vya corona yaibua hofu India

Na Mashirika AINA mpya ya virusi vya corona imevamia India huku serikali ikionya kuwa maafa makubwa huenda yakashuhudiwa tena nchini...

Hofu huenda Hyundai isiwezane na barabara za Safari Rally

Na GEOFFREY ANENE Mashabiki wa magari ya Hyundai wameingiwa na wasiwasi kuwa magari hayo hayatafaulu Mbio za Magari Duniani (WRC) Safari...

Droo ya Cecafa U23 kufanywa kupitia Zoom mnamo Ijumaa

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya soka ya wanaume ya Kenya ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 23 maarufu kama Emerging Stars, itafahamu...

Waiguru aitaka Hazina ya Kitaifa kutoa fedha za Mei na Juni pia

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru ameshabikia taarifa kutoka Waziri wa Fedha Ukur Yatani kwamba Hazina ya...

Ana maono ya kucheza soka ya kulipwa

NA PATRICK KILAVUKA KUJIAMINI, nidhamu,ujasiri na kuonyesha weledi kulimpa safu ya ukipa na hifadhi Alexander Mikisi, 21 katika ngome ya...

Mamilioni ya fedha Kenya imetumia katika Safari Rally ikitafuta kuvuna mabilioni, kujenga jina

Na GEOFFREY ANENE KENYA inatarajia kuvuna Sh6 bilioni mbali na fahari na kujinadi kimataifa kutokana na kuandaa duru ya Safari Rally...

Wakenya 36 kuwakilisha taifa Riadha za Dunia za Viziwi nchini Poland

Na VICTOR OTIENO TAFSIRI: GEOFFREY ANENE KENYA itawakilishwa vilivyo kwenye makala ya nne ya Riadha za Dunia za Viziwi nchini Poland...

Maeneo bunge hayataongezewa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2022, yasema IEBC

Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Tume Huru ya Uchaguzi Wafula Chebukati Jumatano aliwaambia maseneta kwamba tume hiyo haitaweza kuongeza...

Kaunti zalia kucheleweshewa mgao wa fedha za hazina ya kitaifa

Na SAMMY WAWERU KAUNTI zimeonya kuwa huenda zikasitisha utoaji wa huduma zake hivi karibuni kufuatia kuendelea kucheleweshwa kwa mgao wa...

Barabara kadhaa kufungwa kwa wakati tofauti

NA JOHN ASHIHUNDU Barabara kadhaa zitafungwa kwa wakati tofauti wakati wa mbio za magari za Safari Rally zitakazoanza leo hadi...

Bitok kuchuja kikosi cha Malkia Strikers

Na CHRIS ADUNGO KOCHA Paul Bitok atapunguza zaidi kikosi chake cha Malkia Strikers hadi kufikia wanavoliboli 12 pekee kufikia mwisho wa...