• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 2:53 PM

Hakuna kondomu Team Kenya itakapotua Tokyo kwa Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE KWA mara ya kwanza tangu 1988, hakuna kondomu zitapeanwa kwa wanamichezo watakaoshiriki Olimpiki, makala ya 2020...

Wajerumani walikosa kuongeza idadi 2020

Na Mashirika IDADI ya watu nchini Ujerumani ilikosa kuongezeka mwaka jana sababu ya janga la corona, ripoti ya serikali iliyotolewa jana...

Brazil kumalizana na Colombia leo usiku

RIO DE JANEIRO, Brazil Huku mechi za makundi za kuwania ubingwa wa Copa America zikendelea, Brazil na Colombia zimepangiwa kukutana...

Pesa za wazee ziwafae wajane

Na MHARIRI KENYA inapoungana na ulimwengu leo kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wajane, yafaa tukumbuke kuwa hakuna mtu anayependa kufiwa...

Watoto wapewe basari bila ubaguzi – Magoha

Na WACHIRA MWANGI WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha, ametaka ufadhili wa karo kwa watoto wa shule uwe ukitolewa kwa njia wazi bila...

Kesi ya Echesa kusikizwa faraghani

Na RICHARD MUNGUTI KESI ya kashfa ya ununuzi wa vifaa vya kijeshi vya gharama ya Sh39.5bilioni dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Michezo...

Muturi aelekeze Mlima Kenya waseme kwa sauti moja

Na KINYUA BIN KING'ORI Tangu spika wa Bunge la kitaifa Justin Muturi kutawazwa kuwa msemaji wa Jamii ya Mlima Kenya katika ulingo wa...

‘Ushirika wa ODM, Jubilee moto wa kuotea mbali’

Na BENSON MATHEKA VIONGOZI wa chama cha Jubilee, wametaja vyama vya ODM na Wiper, kama washirika wake muhimu na kupuuza madai ya Naibu...

Somalia, Afghanistan hatari zaidi kwa maisha ya watoto

Na MHARIRI SOMALIA, Congo, Afghanistan na Syria zinaongoza katika orodha ya maeneo hatari zaidi ya kivita kwa watoto, Umoja wa Mataifa...

Raila, Kalonzo wapeleka vita vyao Mt Kenya

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga na mwenzake wa Wiper Kalonzo Musyoka wameanza kunyemelea eneo la Mlima Kenya...

Heko Facebook kuzima akaunti za chuki Ethiopia

Na FAUSTINE NGILA TUNAISHI enzi hatari ambapo watu walio na usemi mkubwa katika masuala ya kisiasa, wanatumia mitandao ya kijamii kama...

Masoko ya wazi yaruhusiwe katika kaunti zilizofungwa

Na CHARLES WASONGA INGAWA hatua ya serikali kuimarisha masharti ya kudhibiti maambukizi ya Covid-19 katika kaunti za eneo la Magharibi...