• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 1:24 PM

Maskwota elfu tatu wafurushwa

BRIAN OCHARO na KALUME KAZUNGU ZAIDI ya watu 3,000 katika mtaa wa Kadzandani, Kaunti ya Mombasa wana hofu ya kufurushwa makwao baada ya...

Kocha Tusker FC asherehekea kuzima Kariobangi Sharks

Na JOHN KIMWERE KOCHA wa Tusker FC, Robert Matano ameelezea furaha yake kutokana na ushindi wa vijana wake wa bao 1-0 dhidi ya...

Austria waingia hatua ya 16-bora ya Euro kwa mara ya kwanza baada ya miaka 67

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO AUSTRIA walitinga hatua ya 16-bora ya Euro kwa mara ya kwanza katika historia baada ya...

Peru wakung’uta Colombia huku Ecuador na Venezuela wakitoshana nguvu Copa America

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya Peru iliweka hai matumaini ya kuingia robo-fainali za Copa America baada ya...

Argentina waangusha Paraguay huku Chile wakitoka nguvu sawa na Uruguay kwenye Copa America

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO  ARGENTINA walikalia vizuri kileleni mwa Kundi A kwenye kampeni za Copa America zinazoendelea...

Na JOHN KIMWERE  NI miongoni mwa wasanii chipukizi wa kike wanaozidi kuvumisha jukwaa la burudani kupitia uigizaji na vichekesho hapa...

Christina Munyao anavyovumisha tasnia ya filamu nchini

Na JOHN KIMWERE NI kati ya wasanii wa kike walioamua kuvumisha tasnia ya filamu nchini. Alianza kujituma kwenye masuala ya filamu...

Serikali yanyenyekea kuhusu amri kwa makanisa

Na MARY WAMBUI SERIKALI Jumatatu ililazimika kukutana na viongozi wa kidini baada ya kuweka masharti makali yaliyoonekana kukandamiza...

Imara United yalenga kupandishwa daraja muhula ujao

Na JOHN KIMWERE IMARA United ni kati ya klabu kongwe nchini kama AFC Leopards maarufu Ingwe na Gor Mahia kwa jina lingine K'Ogalo ambazo...

Aliyejaribu kumuua Kosewe asema alikuwa akijikinga

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA anayekabiliwa na shtaka la kujaribu kumuua mmiliki wa hoteli ya Ronalo Foods almaarufu Kosewe...

Italia yapepeta Wales na kufikia rekodi ya kutoshindwa katika mechi 30 mfululizo

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO WALES walitinga hatua ya 16-bora licha ya kupigwa 1-0 na Italia katika Kundi A kwenye fainali...

Wanavoliboli wa Kenya ya ufukweni hawana corona, watawania tiketi ya Olimpiki

Na AGNES MAKHANDIA akiwa Agadir, Morocco TIMU za Kenya za voliboli ya ufukweni zinaweza sasa kupumua baada ya matokeo ya msafara wake...