KNA na MAUREEN ONGALA Mamlaka ya Taifa ya kukabiliana na Ukame (NDMA), jana ilianza kuwasajili watu wanaokabiliwa na njaa Kaunti ya Tana...
Na MARY WANGARI DAKTARI wa Hospitali Kuu ya Kenyatta (KNH) aliyedaiwa kujitoa Uhai, Dkt Lydia Kanyoro atazikwa Jumamosi, June 19...
Na LAWRENCE ONGARO WALEVI katika kaunti ndogo ya Gatundu wameasi unywaji wa pombe haramu na kujihusisha na kazi za ujenzi wa...
Na CHARLES WASONGA SERIKALI imeongeza muda wa kafyu katika kaunti 13 zilizoko Magharibi mwa Kenya kama hatua ya kuzuia kuenea kwa virusi...
Na IAN BYRON GAVANA wa Migori Okoth Obado ameendelea kukishutumu chama cha ODM kwa kudai kilimtenga alipokabiliwa na changamoto katika...
Na SAMMY WAWERU NAIBU wa Chifu kata ndogo ya Naromoru, Nyeri, Nyambura Githinji amewataka wakazi wa eneo hilo kwa jumla kuhakikisha...
Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI kutoka familia maskini wapatao 94 katika kaunti ndogo ya Thika watanufaika na mpango wa serikali kuwasaidia...
KITAVI MUTUA KUZUKA kizaazaa Jumatano katika majengo ya mahakama ya Kitui baada ya kasisi mmoja wa kanisa Katoliki aliyeshtakiwa kwa...
Na CHARLES WASONGA KENYA Jumatano, haikuandikisha kisa chochote cha maafa kutokana na ugonjwa wa Covid-19 huku visa 485 vipya vya...
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kuwalinda wanafunzi walemavu hasa wasioona ili kuwaepusha na changamoto wanazopitia. Afisa mkuu wa...
Na KALUME KAZUNGU WAVUVI katika kisiwa cha Lamu wanaiomba serikali kuingilia kati na kuwasaidia kukomboa ardhi yao ya maegesho...
Na LAWRENCE ONGARO SHULE mpya ya msingi ya Mutuya imefunguliwa eneobunge la Ruiru ili kupunguza msongamano uliopo katika shule ya...