Na KALUME KAZUNGU WAVUVI katika kisiwa cha Lamu wanaiomba serikali kuingilia kati na kuwasaidia kukomboa ardhi yao ya maegesho...
Na LAWRENCE ONGARO SHULE mpya ya msingi ya Mutuya imefunguliwa eneobunge la Ruiru ili kupunguza msongamano uliopo katika shule ya...
Na MAUREEN ONGALA FAMILIA ya marehemu Fatuma Mwero kutoka kijiji cha Mabirikani, Kaunti ya Kilifi ambaye mwili wake ulikuwa umetoweka...
Na TITUS OMINDE MWENYEKITI wa Chama cha Kitaifa cha Wazazi (NPA) Nicholas Maiyo ameitaka Wizara ya Elimu kuwachukulia hatua baadhi ya...
Na LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Bidco Africa Ltd imeonyesha uwezo wake wa kujiendeleza barani Afrika hasa uwekezaji na ustawishaji wa...
Na SIAGO CECE WAHUDUMU wa tuk-tuk mjini Mombasa waliziba barabara kadhaa mjini huku wakifanya maandamano kulalamikia kuhangaishwa na...
Na KALUME KAZUNGU MBUNGE Mwakilishi wa Wanawake katika Kaunti ya Lamu, Bi Ruweida Obbo, amewahimiza wanawake wanaopitia dhuluma za aina...
Na LUCY MKANYIKA HATIMA ya wakazi zaidi ya 3,500 wa eneo la Mwatate, Kaunti ya Taita Taveta imo hatarini baada ya Shirika la Kuhufadhi...
Na LUCY MKANYIKA MZOZO kati ya jamii za Kaunti ya Taita Taveta na wasimamizi wa shamba linalohusishwa na Naibu Rais William Ruto,...
Na SAMMY KIMATU MAAFISA wa polisi walifanikiwa kupata vipande vya vyuma na mabati ya daraja moja lililokuwa limeporomoka baada ya kuibwa...
Na SAMMY KIMATU ZAIDI Ya familia mia moja zimepoteza nyumba zao baada ya moto mkubwa kuteketeza nyumba 150 katika mtaa mmoja wa mabanda...
Na LAWRENCE ONGARO VIJANA wamehimizwa kuzingatia utumizi wa mitandao ya kidijitali aina ya Ajira Digital Kenya, ili kujiendeleza...