Na SAMMY WAWERU TIMOTHY Mburu ni mkulima wa mseto wa mimea eneo la Gitinga, Naromoru, Kaunti ya Nyeri. Hukuza mimea kama vile...
Na SAMMY KIMATU NAIROBI TAKATAKA iliyorundikana katika mtaa mmoja wa mabanda South B, kaunti ya Nairobi na kuwakera wakazi kwa majuma...
Na MAUREEN ONGALA GAVANA wa Kaunti ya Kilifi, Bw Amason Kingi ameonya wafanyakazi wa kaunti dhidi ya kujaribu kuvuruga mfumo mpya wa...
Na MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Rabai, Bw William Kamoti amemkosoa Waziri wa Elimu, Prof George Magoha kwa kutaka wanafunzi ambao wana...
Na WACHIRA MWANGI WAHUDUMU wa tuk tuk katika Kaunti ya Mombasa wamelalamika kuhusu sera mpya ya kaunti inayowahitaji kulipa Sh1,000 ili...
Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO KOCHA David Moyes, 58, amerefusha mkataba wake kambini mwa West Ham United kwa kipindi cha...
BRIAN NGUGI na WALTER MENYA RAIS wa Amerika Joe Biden ametangaza kuwa atatuma vikosi maalum vya wanajeshi nchini kusaidia juhudi za...
Na SHABAN MAKOKHA MAGAVANA wanaohudumu katika mihula yao ya mwisho wana wasiwasi kuhusu sifa watakazoacha baada ya miradi mingi...
Na LEONARD ONYANGO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) leo inaanza shughuli ya kuhamasisha Wakenya kuhusiana na masuala mbalimbali ya...
Na MARY WANGARI MWISHONI mwa wiki iliyopita, Kenya ilipokea mkopo wa Sh80bilioni kutoka kwa Benki ya Dunia kwa lengo la kuimarisha...
Na MHARIRI NI wazi imefikia wakati Rais Uhuru Kenyatta atathmini tena msimamo wake kuhusu mvutano uliopo kati ya Serikali na Idara ya...
Na BENSON MATHEKA HUENDA eneo la Mlima Kenya likakosa nguvu za kisiasa ambazo limekuwa likijivunia ikiwa juhudi za kuunganisha kaunti...