• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 8:50 AM

Wakazi 3,500 Mwatate hatarini kufurushwa

Na LUCY MKANYIKA HATIMA ya wakazi zaidi ya 3,500 wa eneo la Mwatate, Kaunti ya Taita Taveta imo hatarini baada ya Shirika la Kuhufadhi...

Wenyeji watumai kuzima mzozo na wasimamizi wa ‘shamba la Ruto’

Na LUCY MKANYIKA MZOZO kati ya jamii za Kaunti ya Taita Taveta na wasimamizi wa shamba linalohusishwa na Naibu Rais William Ruto,...

Polisi watwaa daraja lililoibwa kutoka Mukuru-Kayaba

Na SAMMY KIMATU MAAFISA wa polisi walifanikiwa kupata vipande vya vyuma na mabati ya daraja moja lililokuwa limeporomoka baada ya kuibwa...

Familia zaidi ya 100 zapoteza nyumba zao baada ya moto kuteketeza nyumba 150 mtaani Mukuru-Kayaba

Na SAMMY KIMATU ZAIDI Ya familia mia moja zimepoteza nyumba zao baada ya moto mkubwa kuteketeza nyumba 150 katika mtaa mmoja wa mabanda...

Vijana wahimizwa kuzingatia teknolojia ya Ajira Digital Kenya

Na LAWRENCE ONGARO VIJANA wamehimizwa kuzingatia utumizi wa mitandao ya kidijitali aina ya Ajira Digital Kenya, ili kujiendeleza...

Ondoa gharama ya kununua fatalaiza kwa kujitengezea mbolea asilia na yenye rutuba

Na SAMMY WAWERU TIMOTHY Mburu ni mkulima wa mseto wa mimea eneo la Gitinga, Naromoru, Kaunti ya Nyeri. Hukuza mimea kama vile...

Takataka iliyowakera wakazi eneo la viwandani na mtaani wa mabanda laondolewa

Na SAMMY KIMATU NAIROBI TAKATAKA iliyorundikana katika mtaa mmoja wa mabanda South B, kaunti ya Nairobi na kuwakera wakazi kwa majuma...

Kingi aonya maafisa

Na MAUREEN ONGALA GAVANA wa Kaunti ya Kilifi, Bw Amason Kingi ameonya wafanyakazi wa kaunti dhidi ya kujaribu kuvuruga mfumo mpya wa...

Mbunge ataka Magoha ahojiwe kuhusu karo

Na MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Rabai, Bw William Kamoti amemkosoa Waziri wa Elimu, Prof George Magoha kwa kutaka wanafunzi ambao wana...

Wahudumu walia kuhusu ada mpya za tuk tuk

Na WACHIRA MWANGI WAHUDUMU wa tuk tuk katika Kaunti ya Mombasa wamelalamika kuhusu sera mpya ya kaunti inayowahitaji kulipa Sh1,000 ili...

Kocha David Moyes arefusha kandarasi yake kambini mwa West Ham kwa miaka mitatu

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO KOCHA David Moyes, 58, amerefusha mkataba wake kambini mwa West Ham United kwa kipindi cha...

Amerika kutuma wanajeshi Kenya kupigana na Al-Shabaab

BRIAN NGUGI na WALTER MENYA RAIS wa Amerika Joe Biden ametangaza kuwa atatuma vikosi maalum vya wanajeshi nchini kusaidia juhudi za...