• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 6:24 PM

Wahudumu walia kuhusu ada mpya za tuk tuk

Na WACHIRA MWANGI WAHUDUMU wa tuk tuk katika Kaunti ya Mombasa wamelalamika kuhusu sera mpya ya kaunti inayowahitaji kulipa Sh1,000 ili...

Kocha David Moyes arefusha kandarasi yake kambini mwa West Ham kwa miaka mitatu

Na MASHIRIKA TAFSIRI NA: CHRIS ADUNGO KOCHA David Moyes, 58, amerefusha mkataba wake kambini mwa West Ham United kwa kipindi cha...

Amerika kutuma wanajeshi Kenya kupigana na Al-Shabaab

BRIAN NGUGI na WALTER MENYA RAIS wa Amerika Joe Biden ametangaza kuwa atatuma vikosi maalum vya wanajeshi nchini kusaidia juhudi za...

Magavana sasa tumbojoto kuhusu miradi iliyokwama

Na SHABAN MAKOKHA MAGAVANA wanaohudumu katika mihula yao ya mwisho wana wasiwasi kuhusu sifa watakazoacha baada ya miradi mingi...

IEBC ielimishe Wakenya jinsi ya kutimua viongozi

Na LEONARD ONYANGO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) leo inaanza shughuli ya kuhamasisha Wakenya kuhusiana na masuala mbalimbali ya...

Mikakati ya kuvutia wawekezaji wa kigeni izingatie SME

Na MARY WANGARI MWISHONI mwa wiki iliyopita, Kenya ilipokea mkopo wa Sh80bilioni kutoka kwa Benki ya Dunia kwa lengo la kuimarisha...

Mahakama: Ni wakati Rais akubali miito

Na MHARIRI NI wazi imefikia wakati Rais Uhuru Kenyatta atathmini tena msimamo wake kuhusu mvutano uliopo kati ya Serikali na Idara ya...

Muungano wa kisiasa wa kaunti za Mashariki pigo kwa Mlima Kenya

Na BENSON MATHEKA HUENDA eneo la Mlima Kenya likakosa nguvu za kisiasa ambazo limekuwa likijivunia ikiwa juhudi za kuunganisha kaunti...

36 kuhojiwa kujaza nafasi 4 za makamishna IEBC

Na LEONARD ONYANGO MAHOJIANO ya kutafuta watakaochua nafasi nne za makamishna katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yataanza...

Chipu yapasua Mwamba raga ya kujiandalia Kombe la Afrika

Na GEOFFREY ANENE WANARAGA wa Chipu wamenyuka klabu ya Mwamba kutoka Ligi Kuu kwa alama 12-10 katika mechi ya kujipima nguvu uwanjani...

Vihiga Queens na Thika Queens walishinda zoni zao za Ligi Kuu ya Wanawake

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Vihiga Queens na washindi wa zamani Thika Queens wamekamilisha msimu wa kawaida wa Ligi Kuu ya...

Tungali kwenye mataa baada ya kubomolewa makao

Na SAMMY WAWERU NI zaidi ya miezi miwili tangu ubomoaji wa makazi na majengo utekelezwe eneo la Kware, Njiru, Kaunti ya...