• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

Tungali kwenye mataa baada ya kubomolewa makao

Na SAMMY WAWERU NI zaidi ya miezi miwili tangu ubomoaji wa makazi na majengo utekelezwe eneo la Kware, Njiru, Kaunti ya...

Mtandao wa ‘Ardhi Sasa’ utaweza kuzima matapeli wa ardhi Nairobi na Kenya kwa jumla?

Na SAMMY WAWERU MUDA unazidi kuyoyoma tangu ubomoaji wa majengo ufanyike katika eneo la Kware, Kaunti Ndogo ya Njiru, kiungani mwa jiji...

Kenya imechanja tena wanamichezo 2,000 na wanaotangamana –Waziri Amina

Na GEOFFREY ANENE WIZARA ya Michezo imefichua kuwa wanamichezo 2,000 wamepokea chanjo ya pili juma hili ya ugonjwa wa covid-19 kupitia...

Kenya imechanja tena wanamichezo 2,000 na wanaotangamana –Waziri Amina

Na GEOFFREY ANENE WIZARA ya Michezo imefichua kuwa wanamichezo 2,000 wamepokea chanjo ya pili juma hili ya ugonjwa wa covid-19 kupitia...

Mtazamo wako wa maisha ni chaguo lako lakini kwa yote zingatia hekima

Na LUCY KILALO MAFANIKIO yanategemea mtazamo. Kushinda kunategemea mtazamo. Furaha inategemea mtazamo. Shukrani inategemea mtazamo....

Watu 13 wajeruhiwa katika shambulizi

NA MASHIRIKA AUSTIN, AMERIKA WATU wasiopungua 13 walijeruhiwa, wawili miongoni mwao wakiachwa hali mahututi, katika kisa cha...

Jumba llililoanza kujengwa enzi za Moi latengewa bajeti ya Sh500 milioni

Na SAMWEL OWINO Jengo lililoanza kujengwa wakati wa utawala wa Hayati Daniel arap Moi limetengewa Sh500 milioni katika bajeti ya mwaka...

Magavana tumbototo kuhusu miradi waliyoanza

Na SHABAN MAKOKHA MAGAVANA wanaohudumu katika mihula yao ya mwisho wana wasiwasi kuhusu sifa watakazoacha baada ya miradi mingi...

Mhudumu wa bodaboda anusurika kifo kwa kichapo

NA WYCLIFFE NYABERI Maafisa wa polisi katika kaunti ya Nyamira jana walilazimika kufyatua risasi hewani ili kumuokoa mhudumu mmoja wa...

Aliyetishia kumuua mpenziwe ahukumiwa

Na KNA MWANAMUME aliyetishia kumuua mpenzi wake wa zamani kutokana na deni la nyanya amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi...

Hatukutengewa fedha za referenda, IEBC yafafanua

Na CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imefafanua kuwa Sh14.5 bilioni ilizotengewa katika bajeti iliyosomwa na Waziri...

Miradi ya Uhuru Nyanza inavyotishia kuchimbia Raila kaburi la kisiasa

Na CHARLES WASONGA ZIARA ya Rais Uhuru Kenyatta majuzi katika eneo la Luo Nyanza imegeuka shubiri ya kisiasa kwa kiongozi wa ODM Raila...