• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 5:50 AM

Likizo ni muhimu sana kwa afya ya akili ya wanafunzi

  MOSES KAPKIAI, Eldoret UTAFITI umeonyesha kuwa kuwapa wanafunzi mapumziko kunaimarisha afya yao ya akili. Hatua hii pia...

FAUSTINE NGILA: Hatua ya Nigeria kuzima Twitter itaumiza wananchi

Na FAUSTINE NGILA KWA sasa, taifa la Nigeria linajipiga kifua jinsi lilivyozima mtandao wa kijamii wa Twitter wiki iliyopita, serikali...

Malala haoni boriti katika jicho lake ila kwa mwingine

Na CHARLES WASONGA TANGU wiki jana, wanasiasa kutoka maeneo ya Magharibi, Rift Valley na Pwani wamekuwa wakimsuta kiongozi wa ODM Raila...

Mama mpiganaji wa Mau Mau aeleza dhuluma walizopitia

Na SAMMY WAWERU GRACE Njoki Mwangi ni mama mchangamfu na mkarimu, hulka ambazo zitakuvutia unapotangamana naye. Alikuwa miongoni mwa...

Mpira wa vikapu kurejea viwanjani Juni 12-13, ratiba imetangazwa Jumatatu

Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Mpira wa Vikapu (KBF) limetangaza ratiba ya mechi za Ligi Kuu na Ligi za Daraja za Pili za wanaume na...

Corona: Uganda yasitisha kufunguliwa kwa shule

Na MASHIRIKA KAMPALA, Uganda UGANDA imesitisha mpango wa kufunguliwa kwa shule kwa madarasa chini katika shule za msingi kufuatia...

Korti yaagiza wadhifa wa karani wa bunge la Nairobi usalie wazi

Na Collins Omulo PENGO la uongozi litaendelea kushuhudiwa katika Bunge la Kaunti ya Nairobi baada ya mahakama kutoa amri kwamba afisi ya...

TAHARIRI: Uteuzi wa majaji unatiliwa shaka

NA MHARIRI WIKI hii yote suala kubwa lililo midomoni mwa Wakenya ni jinsi ambavyo Rais Uhuru Kenyatta amekuwa akiichukulia idara ya...

Tanzania kuanza zoezi la utoaji chanjo dhidi ya gonjwa la corona

Na CITIZEN TANZANIA inajiandaa kuanza shughuli ya utoaji chanjo ya Covid-19 baada ya jopo la wataalamu kuwasilisha ripoti inayotoa...

Tanzania kuanza zoezi la utoaji chanjo dhidi ya gonjwa la corona

Na CITIZEN TANZANIA inajiandaa kuanza shughuli ya utoaji chanjo ya Covid-19 baada ya jopo la wataalamu kuwasilisha ripoti inayotoa...

Hoteli iliyovamiwa na magaidi yauzwa

Na BRIAN OCHARO MMILIKI wa Hoteli ya Paradise Beach ambayo ilishambuliwa kwa bomu na magaidi wanaohusishwa na Al Qaeda mwaka wa 2002,...

Mzozo kuhusu mpango wa kukabidhi Mumias Sugar usimamizi mpya

Na Benson Amadala MPANGO wa kukabidhi msimamizi mpya wa kiwanda cha sukari cha Mumias kinachozongwa na matatizo ya kifedha, umeibua...