Na Barnabas Bii MUUNGANO wa kiuchumi wa kaunti za Kaskazini mwa Bonde la Ufa (NOREB), uliopigiwa upatu kubadilisha chumi za eneo hilo,...
Na Lawrence Ongaro WANAFUNZI wa vyuo kutoka Thika wamehimizwa kujikusanya katika makunddi ili wanufaike na fedha za hazina ya kitaifa ya...
Na Maureen Ongala MBUNGE wa Ganze, Bw Teddy Mwambire, amewataka maafisa wa polisi waanzishe uchunguzi kuhusu vijana wanaosemekana kubaka...
Na John Mutuku Samuel Kisa cha kushangaza kilitokea mtaani hapa, baada ya demu aliyezuru wazazi wa mumewe kufumaniwa usiku akirandaranda...
Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wa vyuo mbalimbali kutoka Thika, wamehimizwa kujiunga kwa vikundi ili wanufaike na fedha za maendeleo za...
Na GEOFFREY ANENE KIPA nambari moja wa zamani wa Harambee Stars, Patrick Matasi amefichua kuwa mkewe na mwanawe wa kiume watafanyiwa...
Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa Mtondia na Kibarani, Kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kitaifa kuwalipa wazee wa nyumba kumi ili...
Na MWANDISHI WETU BAADHI ya wanasiasa kutoka kaunti nane za uliokuwa mkoa wa mashariki Kenya wanataka eneo hilo kuungana kisiasa kabla...
Na KALUME KAZUNGU WANAJESHI wa Kenya waliwaua magaidi wawili wa kundi la al-Shabaab kwenye operesheni maalum katika msitu wa Boni, Kauti...
Na LAWRENCE ONGARO DARAJA ambalo limesababisha kukwama kwa shughuli za biashara katika kaunti mbili za Kiambu na Murang'a sasa itaanza...
Na FARHIYA HUSSEIN WAFANYABIASHARA waliozuiwa kuendesha biashara zao katika bustani ya Mama Ngina sasa wana matumaini baada ya...
Na MWANGI MUIRURI ZAIDI ya wazee 2,000 jana walikongamana katika madhabahu ya Mukurwe wa Nyagathanga, Kaunti ya Murang’a, kuitakasa...