• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM

Muungano wa kaunti umekufa

Na Barnabas Bii MUUNGANO wa kiuchumi wa kaunti za Kaskazini mwa Bonde la Ufa (NOREB), uliopigiwa upatu kubadilisha chumi za eneo hilo,...

Hazina ya NG-CDF kufadhili elimu ya wanafunzi vyuoni

Na Lawrence Ongaro WANAFUNZI wa vyuo kutoka Thika wamehimizwa kujikusanya katika makunddi ili wanufaike na fedha za hazina ya kitaifa ya...

Mbunge ashinikiza uchunguzi kuhusu dhuluma kwa wazee

Na Maureen Ongala MBUNGE wa Ganze, Bw Teddy Mwambire, amewataka maafisa wa polisi waanzishe uchunguzi kuhusu vijana wanaosemekana kubaka...

Demu afumaniwa akiroga wakwe

Na John Mutuku Samuel Kisa cha kushangaza kilitokea mtaani hapa, baada ya demu aliyezuru wazazi wa mumewe kufumaniwa usiku akirandaranda...

Wanavyuo kupokea ufadhili wa wa Sh4.5 milioni kutoka kwa mfuko wa NG-CDF Thika

Na LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI wa vyuo mbalimbali kutoka Thika, wamehimizwa kujiunga kwa vikundi ili wanufaike na fedha za maendeleo za...

Mke na mwanawe Matasi kufanyiwa upasuaji Jumatatu

Na GEOFFREY ANENE KIPA nambari moja wa zamani wa Harambee Stars, Patrick Matasi amefichua kuwa mkewe na mwanawe wa kiume watafanyiwa...

Wito wazee wa nyumba 10 walipwe kusambaza kadi za Huduma Namba

Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa Mtondia na Kibarani, Kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kitaifa kuwalipa wazee wa nyumba kumi ili...

Viongozi wataka kaunti 8 za Mashariki kuungana

Na MWANDISHI WETU BAADHI ya wanasiasa kutoka kaunti nane za uliokuwa mkoa wa mashariki Kenya wanataka eneo hilo kuungana kisiasa kabla...

KDF waua magaidi wawili wa al-Shabab

Na KALUME KAZUNGU WANAJESHI wa Kenya waliwaua magaidi wawili wa kundi la al-Shabaab kwenye operesheni maalum katika msitu wa Boni, Kauti...

Serikali kujenga daraja la Sh25 milioni kuokoa biashara za kaunti mbili

Na LAWRENCE ONGARO DARAJA ambalo limesababisha kukwama kwa shughuli za biashara katika kaunti mbili za Kiambu na Murang'a sasa itaanza...

Suleiman Shahbal aahidi kuwatatulia wafanyabiashara kero katika bustani ya Mama Ngina

Na FARHIYA HUSSEIN WAFANYABIASHARA waliozuiwa kuendesha biashara zao katika bustani ya Mama Ngina sasa wana matumaini baada ya...

Wazee watakasa madhabahu ya Agikuyu

Na MWANGI MUIRURI ZAIDI ya wazee 2,000 jana walikongamana katika madhabahu ya Mukurwe wa Nyagathanga, Kaunti ya Murang’a, kuitakasa...