• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

Fidia hutegemea idadi ya mifupa ya mfu – Wakili

Na RICHARD MUNGUTI WAKILI Alice Jepkoech Yano alishangaza tume ya huduma za mahakama (JSC) Ijumaa aliposema kuna jamii inayohesabu mifupa...

Mwaniaji kiti cha ubunge Juja kupandishwa kizimbani Aprili 26

Na LAWRENCE ONGARO MWANIAJI wa kiti cha ubunge Juja, Bw George Koimburi, alitoka mafichoni mnamo Alhamisi, baada ya kusakwa na maafisa...

MKU yashirikiana na KFS kutekeleza miradi ya upanzi wa miti

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Mount Kenya (MKU) na Shirika la Kuhifadhi Misitu Nchini (KFS) zinashirikiana kutekeleza miradi ya...

Wakili Yano asema atakuwa akiuliza kuhusu hisia za Rais

Na RICHARD MUNGUTI MWANIAJI wa 10 anayewania wadhifa wa Jaji Mkuu Ijumaa alishangaza tume ya huduma za mahakama (JSC) aliposema atakuwa...

KCSE: Matokeo kutolewa Mei

Na WANDERI KAMAU WATAHINIWA wa Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE) mwaka huu watajua matokeo yao kufikia Mei 10, amesema Waziri wa Elimu,...

Kampuni yaomba serikali kupunguza gharama ya umeme

Na SAMMY KIMATU [email protected] KIWANDA cha Halar Industries Limited ni moja ya kampuni kubwa ya usafishaji taka ya...

Polisi ashtakiwa kwa kuitisha hongo kutoka kwa mhudumu wa bodaboda

PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA KAMANDA mmoja wa polisi Jumatano alishtakiwa katika mahakama moja ya Makueni kwa kosa la kupokea hongo ya...

Mwanamke auawa kwa kunyongwa Ruiru mpenzi wa kiume akiwa mshukiwa

Na LAWRENCE ONGARO HOFU ilitanda katika kijiji cha Kambi Moto mjini Ruiru, Kaunti ya Kiambu baada ya mwanamke kwa kunyongwa, mshukiwa...

Ngatia atenga uhusiano wake na Rais akisaka kazi

Na RICHARD MUNGUTI HOFU kuwa mwaniaji wa wadhifa wa Jaji Mkuu, Bw Fred Ngatia, atapendelewa kwa kuwa alimwakilisha Rais Uhuru Kenyatta...

Malalamiko ya MCK kwa DCI

Na CHARLES WASONGA BARAZA la Kusimamia Vyombo vya Habari Nchini (MCK) limekashifu hatua ya Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Jinai...

IEBC: Mchakato wa kuteua makamishna 4 wapya kushika kasi wiki hii

Na CHARLES WASONGA ASASI mbalimbali ambazo zinahitajika kuwasilisha majina kwa jopo la kuteua makamishna wapya wa Tume Huru ya Uchaguzi...

Utafiti wakosa kutoa picha kamili ya ushirikiano kati ya China na Afrika

NA MASHIRIKA Utafiti mpya uliofanywa na “Pendekezo la Utafiti kati ya China na Afrika” CARI la Chuo Kikuu cha Johns Hopkins cha...