• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM

Wito kwa walemavu wajiunge na miradi ya maendeleo

Na SAMMY KIMATU NAIROBI WALEMAVU wameshauriwa kuungana kuanzisha vikundi vya miradi ya kutengeneza mapato ili wajiinue kiuchumi sawia...

Mshukiwa wa mauaji azuiliwa siku 14 Juja

Na LAWRENCE ONGARO MAHAKAMA ya Thika imeamuru mshukiwa Evans Karani azuiliwe katika kituo cha polisi cha Juja kwa siku 14 zaidi ili...

Ucheleweshaji wa matokeo waathiri vita dhidi ya Covid

Na GEOFFREY ONDIEKI MRUNDIKO wa sampuli ambazo hazijapimwa katika Kaunti ya Samburu unahujumu juhudi za kupambana na janga la corona...

Wakuzaji miwa walia hatua ya viwanda itawaletea hasara

Na GEORGE ODIWUOR WAKULIMA wa miwa katika kaunti za Migori na Homa Bay, wanahofia hasara kubwa, baada ya usimamizi wa kampuni za kusaga...

Wamiliki hoteli wapinga ushuru wa vitanda

Na WACHIRA MWANGI WAMILIKI wa hoteli na wafanyabiashara kutoka Mombasa, Kwale na Kilifi wametoa wito kwa serikali za kaunti kuondoa...

Mzozo mpya watokota Mumias Sugar

Na BRIAN OJAMAA MZOZO mpya umeibuka katika Kampuni ya Sukari ya Mumias, baada ya wakulima kushinikiza kubadilishwa kwa usimamizi wa...

Mfumo mbadala wasaidia KRA kukusanya Sh21 bilioni

Na BENSON MATHEKA MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru Kenya (KRA), imekusanya zaidi ya Sh21 bilioni kupitia mfumo mbadala wa kutatua mizozo...

Kesi ya mauaji ya Sharon kuanza rasmi, DPP asema

Na RUTH MBULA AFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) hatimaye imetoa tarehe ya kusikilizwa kwa kesi ya mauaji ya Bi Sharon...

Kufanya refarenda bila sajili mpya ya wapigakura si haki – Gladys Boss

Na SAMMY WAWERU MBUNGE mwakilishi wa wanawake Kaunti ya Uasin Gishu Gladys Jepkirui Boss amekosoa hatua ya serikali kupania kuandaa...

Biashara ya mitandaoni yawaletea Wakenya fursa mpya ya uwekezaji

Na MASHIRIKA Kutokana na ongezeko la matumizi ya simu tamba na za kisasa pamoja na kuimarishwa kwa mitandao, imekuwa rahisi kwa idadi...

Wataalamu wakiri kafyu ya mapema haina hata umuhimu

Na CHARLES WASONGA WATAALAMU wa afya wameonya kuhusu ongezeko la maambukizi ya corona katika maeneo ya Nairobi, Kiambu, Kajiado, Nakuru...

Mjakazi kupimwa akili

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Jumanne iliamuru mjakazi aliyewaumiza watoto wa mwajiri wake baada ya kutimuliwa kazini apimwe akili baada...