Na CECIL oDONGO GAZETI La Taifa Leo limeibuka la tatu kama gazeti linaloenziwa na kusomwa zaidi nchini nyuma ya Gazeti la Nation na...
Na PETER MBURU WABUNGE wa upinzani wamemtaka naibu wa Rais William Ruto kukoma kumshambulia kiongozi wao Raila Odinga na kukosoa muafaka...
Na Kalume Kazungu GAVANA wa Kaunti ya Lamu, Fahim Twaha aliwafuta kazi upya mawaziri wake wawili saa chache baada ya kuwarejesha kazini....
Na DERICK LUVEGA KANISA moja katika Kaunti ya Vihiga linaomboleza vifo vya washiriki watano waliofariki kwenye ajali wakitoka...
Na CECIL ODONGO ASILIMIA 11.9 ya Wakenya hulipa hongo katika hospitali za umma nchini ili kupokea huduma muhimu za kimatibabu, kulingana...
Na ANITA CHEPKOECH ALIYEKUWA Gavana wa Bomet, Bw Isaac Ruto, amekosoa mwafaka wa Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga,...
Na LEONARD ONYANGO WIZARA ya Elimu imefichua mbinu ambazo baadhi ya watahiniwa wanapanga kutumia ili kupata mwanya wa kuiba mitihani ya...
Na David Mwere IMEIBUKA kwamba Rais Mstaafu Mwai Kibaki alitumia nafasi yake kama rais kushinikiza kufadhiliwa kwa masomo ya jamaa zake wa...
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA mwaniaji wa ubunge wa Konoin, Kaunti ya Bomet amejiunga na kundi la mamilionea baada ya kushinda Sh208 milioni...
Na KAZUNGU SAMUEL SERIKALI imewahakikishia wakazi wa eneo la Mwache, Kaunti ya Kwale kwamba watalipwa fidia kabla ya ujenzi wa bwawa la...
After a family tragedy, three generations of the Deetz...
Soulmates Eric and Shelly are brutally murdered when the...
When tech billionaire Slater King meets cocktail waitress...