• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Mbunge wa zamani Kisauni adai Jicho Pevu anaishi hotelini  

NA CHARLES ONGADI VITA vya maneno kati ya Mbunge wa Nyali na baadhi ya viongozi wa kisiasa Mombasa vimechukua mwelekeo tofauti,...

Afisa wa trafiki mpenda hongo abambwa na EACC

NA LABAAN SHABAAN MAAFISA wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) wamemtia mbaroni afisa wa polisi wa trafiki anayeaminika...

Mwanamume apatikana ameuawa na mwili kutupwa mtoni Kirinyaga  

NA GEORGE MUNENE MWANAMUME mmoja amepatikana ameuawa na mwili wake kutupwa katika mto Rwamuthambi katika Kaunti ya Kirinyaga. Mwili...

Mwakwere atawazwa kuwa msemaji rasmi wa jamii ya Wadigo

NA SIAGO CECE ALIYEKUWA Balozi, Chirau Ali Mwakwere sasa ndiye msemaji wa jamii ya Wadigo wanaopatikana katika Kaunti ya Kwale. Hii...

Mwanajeshi aliyefutwa kazi kwa kuitisha makurutu hongo alilia korti imhurumie

NA BRIAN OCHARO MWANAJESHI wa Kenya (KDF) ambaye alihukumiwa na kufungwa kwa miezi sita kwa kuomba rushwa ili kusaidia mwanamke...

‘Comrades’ wadai bodaboda ni wembe kupagawisha vidosho wa vyuo vikuu

NA RICHARD MAOSI  BAADHI ya wanafunzi wa kiume kutoka Chuo Kikuu cha South Eastern Kenya University (SEKU), Kaunti ya Kitui, wamedai...

Mwakwere atawazwa kuwa msemaji wa Wadigo

NA SIAGO CECE MWANASIASA na balozi Chirau Ali Mwakwere sasa ndiye msemaji wa jamii ya Wadigo wanaopatikana katika maeneo ya...

Watu sita wafunikwa na udongo wa maporomoko ya ardhi Kisauni

NA WACHIRA MWANGI WATU sita wanahofiwa kuzikwa wakiwa hai kwenye eneo la Kashani, eneobunge la Kisauni katika Kaunti ya...

Serikali imepunguza kwa asimilia 50 bajeti ya usafiri – Rais

NA LUCY MKANYIKA RAIS William Ruto sasa amesema bajeti ya usafiri katika nguzo zote tatu za serikali, pamoja na taasisi zingine za umma,...

Hawara achomea picha vidume wa Man U akidai wote ni mafisi wa kutupwa

Na CHRIS ADUNGO MWANAMITINDO maarufu mraibu wa TikTok ambaye kwa sasa ni kahaba, Sky Bri, ameduwaza wengi kwa kudai kuwa idadi kubwa ya...

Kijana, 20, aondolewa kesi ya ubakaji baada ya kudhihirisha alikuwa mpenzi wa siri wa mlalamishi, 48

KNA na LABAAN SHABAAN MWANAMUME wa umri wa miaka 20 ameshusha pumzi baada ya mahakama ya Loitoktok kumuondolea shtaka la...

Madiwani watumia muda wa saa tano kujadili waziri ‘mchakavu na asiyenyoa’

FLORAH KOECH na LABAAN SHABAAN MADIWANI wa Kaunti ya Baringo wanaopambana kumtimua waziri wa barabara Lekonaya Kibwalel walijadili ndevu...