SHANGAZI; Nimegundua mwanamume mpenzi wangu amekuwa akiwasiliana kwa simu na dadangu mdogo. Kuna jambo linaloendelea kati yao? Kama...
GEORGE ODIWUOR na JUSTUS OCHIENG’ SHIRIKA la Kukadiria Ubora wa Bidhaa Nchini (KEBS) sasa linasema kuwa unga unaotengenezwa na Kiwanda...
Na RICHARD MUNGUTI MGANGA aliyeshtakiwa kumlaghai Seneta wa Tana River Danson Mungatana Sh76 milioni hana hatia, hali inayoafiki msemo...
NA FARHIYA HUSSEIN SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa inawania kuanzisha mbinu ya wakazi na wagonjwa wanaohudumiwa katika Hospitali Kuu ya...
JOSEPH NDUNDA na FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA aliyedaiwa kumwekea mpenziwe dawa za kulevya kwenye kinywaji wakiwa katika chumba cha...
SHANGAZI; Kuna mabadiliko katika ndoa yangu ambayo yananitatiza. Siku za hivi majuzi mke wangu amekuwa baridi sana chumbani. Sijui...
NA JOSEPH OPENDA MWANAMKE mmoja amesimulia Mahakama Kuu ya Nakuru jinsi mwanaume aliyekutana naye kama mpenzi alimuua mwanawe,...
Na ANGELINE OCHIENG MWANAUME ambaye alivuruga mkutano wa kisiasa wa Rais William Ruto katika eneo la Kondele, Kaunti ya Kisumu miaka...
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA mkuu katika mauaji ya kinyama aliyekuwa Mkurugenzi wa Uhasibu katika Nairobi Hospital Erick Maigo alisababisha...
NA TITUS OMINDE Mahakama Kuu mjini Eldoret mnamo Alhamisi Oktoba 25, 2023 ilimpata Naftali Kinuthia, 33, na hatia ya kumuua mpenzi wake...
NA BRIAN OCHARO WALIPA ushuru katika Kaunti ya Kilifi wamepata afueni baada ya Mahakama Kuu Malindi kutupilia mbeli kesi ya wakili...
NA MERCY KOSKEI RAIS mstaafu Uhuru Muigai Kenyatta leo Oktoba 26, 2023 anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kuadhimisha miaka 62. Hata...