• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Mbona anapigia dadangu mdogo simu kisiri, kwani sitoshi?

SHANGAZI; Nimegundua mwanamume mpenzi wangu amekuwa akiwasiliana kwa simu na dadangu mdogo. Kuna jambo linaloendelea kati yao? Kama...

KEBS sasa yasema unga wa Mokwa aliozindua Raila ni salama kwa lishe

GEORGE ODIWUOR na JUSTUS OCHIENG’ SHIRIKA la Kukadiria Ubora wa Bidhaa Nchini (KEBS) sasa linasema kuwa unga unaotengenezwa na Kiwanda...

Mganga wa Chad aliyeambia Mungatana atamzalishia Sh76 milioni aambiwa hana hatia

Na RICHARD MUNGUTI MGANGA aliyeshtakiwa kumlaghai Seneta wa Tana River Danson Mungatana Sh76 milioni hana hatia, hali inayoafiki msemo...

Kaunti kupokea malalamishi ya wagonjwa moja kwa moja kumulika uovu hospitalini Coast General

NA FARHIYA HUSSEIN SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa inawania kuanzisha mbinu ya wakazi na wagonjwa wanaohudumiwa katika Hospitali Kuu ya...

Jinsi mfanyabiashara alivyojinasua kutoka kwa ‘mchele babe’ Kasarani

JOSEPH NDUNDA na FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA aliyedaiwa kumwekea mpenziwe dawa za kulevya kwenye kinywaji wakiwa katika chumba cha...

Mke amebadilika sana, baridi imetanda chumbani. Nishauri

SHANGAZI; Kuna mabadiliko katika ndoa yangu ambayo yananitatiza. Siku za hivi majuzi mke wangu amekuwa baridi sana chumbani. Sijui...

Mama asimulia jinsi mpenziwe alivyoua mtoto kinyama

NA JOSEPH OPENDA MWANAMKE mmoja amesimulia Mahakama Kuu ya Nakuru jinsi mwanaume aliyekutana naye kama mpenzi alimuua mwanawe,...

Aliyevuruga mkutano wa Ruto atozwa faini ya Sh13,000

Na ANGELINE OCHIENG MWANAUME ambaye alivuruga mkutano wa kisiasa wa Rais William Ruto katika eneo la Kondele, Kaunti ya Kisumu miaka...

Tineja akiri kuua afisa mkuu wa fedha wa Nairobi Hospital, Eric Maigo

Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA mkuu katika mauaji ya kinyama aliyekuwa Mkurugenzi wa Uhasibu katika Nairobi Hospital Erick Maigo alisababisha...

Naftali Kinuthia apatikana na hatia ya kumuua mwanachuo Ivy Wangeci miaka minne iliyopita

NA TITUS OMINDE Mahakama Kuu mjini Eldoret mnamo Alhamisi Oktoba 25, 2023 ilimpata Naftali Kinuthia, 33, na hatia ya kumuua mpenzi wake...

Mahakama yaokoa walipa ushuru dhidi ya kulipa wakili Sh1 bilioni Kaunti ya Kilifi

NA BRIAN OCHARO WALIPA ushuru katika Kaunti ya Kilifi wamepata afueni baada ya Mahakama Kuu Malindi kutupilia mbeli kesi ya wakili...

Wakenya waelezea kumkosa Rais Mstaafu Kenyatta huku wakiadhimisha bethidei yake

NA MERCY KOSKEI RAIS mstaafu Uhuru Muigai Kenyatta leo Oktoba 26, 2023 anasherehekea siku yake ya kuzaliwa kuadhimisha miaka 62. Hata...