• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Muturi aagizwa kutoa sababu ya kuchelewesha fidia kwa familia ya mwalimu aliyeuawa na polisi

NA RICHARD MUNGUTI MWANASHERIA Mkuu Justin Muturi ameagizwa kufika kortini mwenyewe kutoa sababu ya serikali kutolipa fidia familia ya...

Raila alizindua unga feki, ripoti ya KEBS yasema

Na JUSTUS OCHIENG' na CECIL ODONGO IMEBAINIKA kuwa Kinara wa Upinzani Raila Odinga alizindua unga feki baada ya Shirika la Kukadiria Ubora...

Polisi wanasa lori likipeleka paka 1,000 kichinjioni

NA MERCY KOSKEI POLISI nchini China wamewaokoa paka 1,000 kutoka kwa lori lililokuwa likielekea kwenye kichinjio kimojawapo nchini...

Wakulima wa mashamba madogo waanza kukumbatia kilimo cha unyunyiziaji maji mashamba

NA CHARLES WASONGA IDADI kubwa ya wakulima wa mashamba madogo sasa wamekumbatia kilimo cha unyunyiziaji maji mashamba na kukwepa...

Tineja anayedaiwa kumuua Eric Maigo kisha kuruka seng’eng’e kwa ujasiri apandishwa kizimbani leo Alhamisi

NA RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA mkuu katika mauaji ya kinyama ya aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Uhasibu katika Nairobi Hospital Eric Maigo...

Nimekutana na demu fulani mtandaoni, ni vibaya kuwa wapenzi?

SHANGAZI; Nimekuwa na urafiki na mwanamke fulani ambaye tumejuana kupitia kwa mtandao. Tumekuwa tukiwasiliana ingawa sijamwelezea nia...

Wanaharakati wamtaka waziri Miano kujiuzulu

NA WINNIE ONYANDO WANAHARAKATI wa Bunge la Mwananchi sasa wanamtaka Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Bi Rebecca Miano kujiuzulu...

KJ amlilia Rais kujengwe shule kuchukua mahala pa iliyoanguka na kuua wanafunzi 2019

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Dagoretti Kusini John Kiarie anataka Taasisi ya Kitaifa ya Utafiti wa Mifugo (ILRI) kutoa kipande cha ardhi...

Jenerali wa Mawaziri? Moses Kuria ataka aletewe malalamishi kuhusu watumishi wa umma

NA LABAAN SHABAAN KWA dakika moja ushei, Waziri mpya wa Utumishi wa Umma Moses Kuria alikagua gwaride la heshima yamkini kuonyesha...

Afisa wa DCI azuiliwa akidaiwa kupora simu ya mwanamke aliyekuwa akinunua matunda Mombasa

NA FARHIYA HUSSEIN MAAFISA katika kituo cha Central, Kaunti ya Mombasa wanamzuilia mwenzao kwa madai ya kuiba simu ya rununu yenye...

Mimba ni yangu ila sina uwezo wa kumtunza demu sababu bado niko chuoni. Nishauri

SHANGAZI; Mpenzi wangu ana mimba na ameamua kuishi kwangu kwa sababu hataki wazazi wake wajue. Mimi ni mwanafunzi na sina uwezo wa...

Spika wa Seneti akataa wazo la chama chake cha PAA kumezwa na UDA

Na WINNIE ATIENO HUKU chama cha UDA kikiendelea kushawishi vyama tanzu kuvunjwa na kujiunga na chama tawala cha Rais William Ruto ili...