• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Cherargei ambebesha lawama waziri Namwamba kwa mkanyagano Kericho

NA LABAAN SHABAAN SENETA wa Nandi Samson Cherargei amemlaumu Waziri wa Michezo Ababu Namwamba kwa mkanyagano uliosababisha vifo vya watu...

Rooney afanyiwa ‘ile kitu’ sasa yeye ni gumegume bila uwezo wowote!

Na CHRIS ADUNGO TOFAUTI na wanawake walio na mbinu tele za kuzuia mimba, wanaume hutegemea njia mbili pekee — mipira ya kondomu au...

Aliua mwanawe ili apate nafasi ya kuyoyomea Uarabuni lakini sasa atatumikia kifungo cha miaka 10 jela

NA PHILIP MUYANGA MWANAMKE mmoja amehukumiwa kifungo cha miaka kumi jela kwa kumuua mwanawe wa mwaka mmoja na kumtupa kisimani ili...

Wakulima na wakazi wa Nyeri washerehekea mvua

KNA na WINNIE ONYANDO WAKULIMA na wakazi wa Nyeri wanasherehekea baada ya kupokea mvua ya El Nino iliyotarajiwa kunyesha mwezi...

Wakazi wa Liwale, Tanzania wadai uhaba wa maji unahatarisha ndoa zao

Na BAHATI MWATESA, Mwananchi Communications Limited Wakazi zaidi ya 3,000 wanaoishi katika kijiji na Kata ya Kimambi, wilayani Liwale,...

Demu aliwahi kuniambia anapenda ufyekaji mzuri, sasa anadai jembe langu halifyeki kisawasawa

SHANGAZI; Kabla tuanze uhusiano, mpenzi wangu alinionya kuwa hawezi kuishi na mwanamume asiyemtosheleza chumbani. Nimeanguka mtihani huo...

Azimio sasa yatishia kuvuruga maridhiano

NA JUSTUS OCHIENG MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya umetishia kutohudhuria mkutano wa Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo (NADCO)...

Mwanamume azuiliwa kwa kukiri wivu ulimfanya amchape mpenzi wake

NA JOSEPH NDUNDA MAHAKAMA ya Makadara imemzuilia mwanamme mmoja aliyekiri kumchapa mpeziwe aliyekumfukuza nyumbani kwake mjini...

Subirini kidogo tu, hali itakuwa shwari, Ruto asihi Wakenya

ERIC MATARA na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto jana alisisitiza kuwa mpango wa kuwekeza bajeti katika kilimo umeanza kuzaa matunda, na...

Wauguzi 66 watuzwa kwa kazi nzuri ya kuwashughulikia wagonjwa hospitalini Gertrude’s

NA LAWRENCE ONGARO WAUGUZI 66 wa kushughulikia watoto wametambuliwa kwa kazi nzuri ya kuwashughulikia watoto wagonjwa katika hospitali...

Walioachiliwa kuhusiana na mauaji ya dereva wa teksi Kericho wasakwa tena

Na FRIDAH OKACHI POLISI katika Kaunti ya Uasin Gishu wanawasaka washukiwa wawili wa mauaji ya dereva wa teksi ambao walikuwa...

Kawira alijipandisha mwenyewe kwenye karandinga, Polisi wajitetea

NA LABAAN SHABAAN IDARA ya Kitaifa ya Huduma ya Polisi (NPS) imejitetea kuhusu taarifa ya kukamatwa kwa Gavana wa Meru Kawira Mwangaza....