• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Mwigizaji Lupita Nyong’o atangaza kutengana na mpenziwe raia wa Afrika Kusini

NA LABAAN SHABAAN MWIGIZAJI Lupita Nyong’o amefungua roho na kutangaza kutengana na mpenzi wake Selema Masekela. Staa huyo...

Wabunge kujadili hatua ya TSC kuadhibu walimu waliokataa uhamisho hadi maeneo hatari

DAVID MUCHUNGUH na MERCY SIMIYU WABUNGE wiki ijayo watajadiliana na Tume ya Kuajiri Walimu (TSC) kuhusu mstakabali wa walimu 129...

Aliniacha akaolewa, sasa anataka tuoane baada ya kuachana na mume wake

SHANGAZI; Mpenzi tuliyeachana amerudi kwangu akiomba turudiane. Aliniacha miaka miwili iliyopita akaolewa na mtu mwingine na sasa...

Korti yamwacha Mackenzie kwa mataa

NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA mkuu wa vifo vya mamia ya watu vilivyotokea katika msitu wa Shakahola, Kaunti ya Kilifi, Bw Paul Mackenzie,...

Magavana wataka Inspekta Jenerali amuombe Mwangaza radhi kwa mateso

NA DAVID MUCHUI BARAZA la Magavana linamtaka Inspekta Jenerali wa polisi, Japhet Koome aombe msamaha kwa Gavana wa Meru Kawira Mwangaza,...

Mwanamume aliyekiri kuiba mkate na maziwa Naivas kuhukumiwa juma lijalo

NA JOSEPH NDUNDA MAHAKAMA ya Makadara itamhukumu mwanaume, 30 aliyekiri kuiba bidhaa katika duka la jumla la Naivas, tawi la Embakasi,...

Karen Nyamu atishia kuchochea wanawake Nairobi kuvua nguo kutetea wakazi wa mabanda

NA MERCY KOSKEI Seneta maalum Karen Nyamu ametishia kuwaongoza wanawake wa Kaunti ya Nairobi kuvua nguo katika harakati za kupigania haki...

Poleni sana lakini tutapandisha nauli, wamiliki wa matatu wasema

Na WINNIE ATIENO WAMILIKI wa Matatu Nchini Kenya wamemtaka Rais William Ruto kuchunguza ruzuku ya mafuta ya petroli ili kuokoa maisha ya...

Wananchi wa Oman, Yemen na Saudi Arabia kuanza kunywa maziwa ya Fresha kutoka Githunguri

NA LABAAN SHABAAN USHIRIKA wa Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa wa Githunguri utauza maziwa lita 250, 000 kila mwezi hadi Bara...

Familia 100 zapiga hesabu upya baada ya kuhamishwa pahala walipoishi tangu 1986

NA SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 100 zimeanza kuondoka kutoka kwa makazi yao baada ya korti kuagiza zihame kutoka kwa ardhi mali ya mtu...

Pesa zaleta mpasuko katika Baraza la Wazee wa Njuri Ncheke

NA ALEX NJERU BARAZA la wazee wa Njuri Ncheke katika Kaunti ya Tharaka Nithi limegawanyika mara mbili kufuatia mgogoro wa matumizi ya...

Sakaja apata shavu mpango wa ‘Dishi na County’ ukijadiliwa nchini Ufaransa

NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja ndiye aliyemwakilisha Rais William Ruto katika Kongamano kuhusu Lishe Shuleni...