NA LABAAN SHABAAN MWIGIZAJI Lupita Nyong’o amefungua roho na kutangaza kutengana na mpenzi wake Selema Masekela. Staa huyo...
DAVID MUCHUNGUH na MERCY SIMIYU WABUNGE wiki ijayo watajadiliana na Tume ya Kuajiri Walimu (TSC) kuhusu mstakabali wa walimu 129...
SHANGAZI; Mpenzi tuliyeachana amerudi kwangu akiomba turudiane. Aliniacha miaka miwili iliyopita akaolewa na mtu mwingine na sasa...
NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA mkuu wa vifo vya mamia ya watu vilivyotokea katika msitu wa Shakahola, Kaunti ya Kilifi, Bw Paul Mackenzie,...
NA DAVID MUCHUI BARAZA la Magavana linamtaka Inspekta Jenerali wa polisi, Japhet Koome aombe msamaha kwa Gavana wa Meru Kawira Mwangaza,...
NA JOSEPH NDUNDA MAHAKAMA ya Makadara itamhukumu mwanaume, 30 aliyekiri kuiba bidhaa katika duka la jumla la Naivas, tawi la Embakasi,...
NA MERCY KOSKEI Seneta maalum Karen Nyamu ametishia kuwaongoza wanawake wa Kaunti ya Nairobi kuvua nguo katika harakati za kupigania haki...
Na WINNIE ATIENO WAMILIKI wa Matatu Nchini Kenya wamemtaka Rais William Ruto kuchunguza ruzuku ya mafuta ya petroli ili kuokoa maisha ya...
NA LABAAN SHABAAN USHIRIKA wa Wafugaji wa Ng’ombe wa Maziwa wa Githunguri utauza maziwa lita 250, 000 kila mwezi hadi Bara...
NA SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 100 zimeanza kuondoka kutoka kwa makazi yao baada ya korti kuagiza zihame kutoka kwa ardhi mali ya mtu...
NA ALEX NJERU BARAZA la wazee wa Njuri Ncheke katika Kaunti ya Tharaka Nithi limegawanyika mara mbili kufuatia mgogoro wa matumizi ya...
NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja ndiye aliyemwakilisha Rais William Ruto katika Kongamano kuhusu Lishe Shuleni...