NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA wa kuongoza dhehebu lililosababisha vifo vya waumini msituni Shakahola, Kaunti ya Kilifi, Bw Paul Mackenzie,...
JERUSALEM, ISRAELI NA MASHIRIKA ISRAELI hapo jana ilisema kwamba hakuna mwafaka wowote uliofikiwa kuhusu kusitishwa kwa mashambulio...
NA RICHARD MAOSI JE, unajua katika Kenya hii yetu mji wa Kijabe unaopatikana Kaunti ya Kiambu hakuna baa, makahaba, vilabu wala uvutaji...
NA JOHN NJOROGE POLISI eneo la Elburgon, Kaunti ya Nakuru wanachunguza kisa ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 43 alipatikana akifukua...
NA RUSHDIE OUDIA MKUU wa Utumishi wa Umma Felix Koskei Jumapili Oktoba 15, 2023 alitoa wito kwa jamii za Waluo na Wakalenjin kuishi kwa...
NA GEORGE MUNENE KIZAAZAA kilizuka katika Kaunti ya Embu, mlanguzi wa dawa za kulevya kutoka kijiji cha Gakwegori alipowasihi polisi...
NA MERCY MWENDE MSAIDIZI katika kanisa Katoliki aliyeshtakiwa kwa kumnajisi msichana wa miaka saba amenyimwa dhamana. Hakimu Mkuu...
CECIL ODONGO na JOHN NJOROGE FAMILIA ya msanii chipukizi Kevin Maina inalilia haki kutokana na mauti yake ya kutatanisha wiki...
NA KALUME KAZUNGU NI nadra sana kumpata mtalii, iwe ni wa kike au wa kiume mwambao wa Pwani akizunguka hapa na pale na mja mwenyeji ambaye...
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesisitiza umuhimu wa elimu-jumuishi, hasa kuangazia elimu ya mtoto wa...
NA RICHARD MUNGUTI KIKAO cha mahojiano kati ya Pasta Ezekiel Odero wa Kanisa la New Life Prayer Centre & Church na wanachama wa...
NA LEON LIDIGU MWANAHABARI wa Nation Media Group (NMG) Pauline Ongaji ameelezea furaha yake baada ya kunyakua tuzo ya kategoria ya...