• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Mackenzie sasa alegeza kamba kuhusu kuhojiwa na Seneti

NA BRIAN OCHARO MSHUKIWA wa kuongoza dhehebu lililosababisha vifo vya waumini msituni Shakahola, Kaunti ya Kilifi, Bw Paul Mackenzie,...

Israeli yakanusha kusitisha mashambulio Ukanda wa Gaza

JERUSALEM, ISRAELI NA MASHIRIKA ISRAELI hapo jana ilisema kwamba hakuna mwafaka wowote uliofikiwa kuhusu kusitishwa kwa mashambulio...

Eneo Kiambu ambapo vijana hawavuti bangi, kunywa pombe wala kushiriki ukahaba

NA RICHARD MAOSI JE, unajua katika Kenya hii yetu mji wa Kijabe unaopatikana Kaunti ya Kiambu hakuna baa, makahaba, vilabu wala uvutaji...

Ajabu mwanamume kupatikana akifukua kaburi la mkewe Nakuru

NA JOHN NJOROGE POLISI eneo la Elburgon, Kaunti ya Nakuru wanachunguza kisa ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 43 alipatikana akifukua...

Koskei azitaka jamii za Waluo na Wakalenji kuishi kwa amani

NA RUSHDIE OUDIA MKUU wa Utumishi wa Umma Felix Koskei Jumapili Oktoba 15, 2023 alitoa wito kwa jamii za Waluo na Wakalenjin kuishi kwa...

Kioja mkuzaji bangi akikataa kukamatwa

NA GEORGE MUNENE KIZAAZAA kilizuka katika Kaunti ya Embu, mlanguzi wa dawa za kulevya kutoka kijiji cha Gakwegori alipowasihi polisi...

Mshukiwa mwenye miaka 73 aliyenajisi mtoto anyimwa dhamana  

NA MERCY MWENDE MSAIDIZI katika kanisa Katoliki aliyeshtakiwa kwa kumnajisi msichana wa miaka saba amenyimwa dhamana. Hakimu Mkuu...

Familia ya msanii aliyefariki baada ya kupigwa akitoka kutumbuiza yalilia haki

CECIL ODONGO na JOHN NJOROGE FAMILIA ya msanii chipukizi Kevin Maina inalilia haki kutokana na mauti yake ya kutatanisha wiki...

Wanawake wazungu wanatupenda sababu tuna nyama ya ulimi, sio ndumba, Beach Boys wa Lamu wasisitiza

NA KALUME KAZUNGU NI nadra sana kumpata mtalii, iwe ni wa kike au wa kiume mwambao wa Pwani akizunguka hapa na pale na mja mwenyeji ambaye...

Spika Wetang’ula almaarufu Papa wa Roma ataka ‘boychild’ kuwezeshwa

NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesisitiza umuhimu wa elimu-jumuishi, hasa kuangazia elimu ya mtoto wa...

Majina ya Ruto na Kindiki yasababisha vikao vya Shakahola kuahirishwa

NA RICHARD MUNGUTI KIKAO cha mahojiano kati ya Pasta Ezekiel Odero wa Kanisa la New Life Prayer Centre & Church na wanachama wa...

Mwanahabari wa NMG anyakua tuzo ya Kani ya Maneno ya 2023 ya Global Energy

NA LEON LIDIGU MWANAHABARI wa Nation Media Group (NMG) Pauline Ongaji ameelezea furaha yake baada ya kunyakua tuzo ya kategoria ya...