• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:39 PM

Maduka yaanza kukataa ‘Lipa Na Mpesa’ sababu ya ushuru wa juu

NA LABAAN SHABAAN SEHEMU ya maduka yameanza kukataa huduma ya malipo kwa njia ya simu ‘Lipa na Mpesa’ wakihepa ada ya juu ya...

Wakulima wa mahindi wamlilia Linturi mabroka wakiwavamia na bei duni

NA EVANS JAOLA NA LABAAN SHABAAN WAKULIMA wa mahindi wamelaumu serikali kwa kukosa kutangaza bei za mahindi huku msimu wa mavuno...

Mpenzi ana tabia ya kumezea mate visura waziwazi na kunifanya nihisi sitoshi

SHANGAZI; Kuna tabia ya mpenzi wangu inayonipa wasiwasi. Anapenda sana kutazama na kutamani wanawake wengine hata tukiwa pamoja....

Azimio sasa washtaki serikali kuhusu mauaji ya walioandamana kulalamikia ugumu wa maisha

Na SAM KIPLAGAT MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya umewasilisha ombi mahakamani kutaka familia za watu 75 wanaodaiwa kuuawa na polisi...

Watahiniwa 2 wafukuzwa kwa kuongea Kijaluo

NA GEORGE ODIWUOR KWENYE tukio la kushangaza, shule moja katika Kaunti ya Homa Bay jana iliwatimua wanafunzi wawili ambao ni watahiniwa wa...

Wakili ‘feki’ aliyeshinda kesi 26 apata uungwaji kutoka kwa Sonko, Atwoli

NA MERCY KOSKEI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko ameelezea nia yake ya kumsaidia mwanamume aliyekamatwa kwa madai ya kujifanya...

Sarakasi za maisha ya kimapenzi ya Nairofey na Yeforian zafikia patamu

NA MERCY KOSKEI MWANAKONTETI kwa Esther Muthoni almaarufu Nairofey, amesema kuwa analenga kuishi na mumewe Duncan Macharia almaarufu...

Washukiwa wa wizi wa vipande vilivyokatwa kutoka kwa magari na vifaa vya kielektroniki waachiliwa kwa dhamana

NA TITUS OMINDE WASHUKIWA sita wa kuiba na kubomoa magari na kuuza vipande katika mji wa Eldoret na viunga vyake, wameachiliwa Ijumaa...

Viongozi Mlimani lawamani kwa ‘kuwa waoga’ kuwatetea raia

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA Gavana wa Nakuru, Bw Lee Kinyanjui, ameonya kwamba huenda eneo la Mlima Kenya likaachwa nyuma kimaendeleo,...

Mkuu wa polisi Makadara athibitisha maafisa wa DCI wanachunguza kifo tata cha mfanyakazi wa benki

NA SAMMY KIMATU WAPELELEZI katika kituo cha polisi cha Industrial Area wameanzisha uchunguzi rasmi kuhusu kisa cha mfanyakazi wa benki...

Mwanamke ashtakiwa kuishi na jambazi na kukosa kuarifu polisi

NA JOSEPH NDUNDA MWANAMKE mmoja mchanga amejipata mashakani baada ya kufunguliwa mashtaka kama mshiriki wa ujambazi kwa kukosa kufahamisha...

Manamba wa matatu mashakani kwa kumuibia na kumbaka mwanamke

Na JOSEPH NDUNDA Utingo ambaye alimburura mwanamke hadi kibanda kando ya barabara kisha kumbaka na kumuibia anakabiliwa na mashtaka ya...