NA KALUME KAZUNGU TANGU jadi, unaposikia jina ‘Lamu’ mara nyingi taswira inayojichora akilini ni tabia nzuri, nidhamu, uswalihina na...
SHANGAZI; Niliachishwa kazi mapema mwaka huu. Kwa bahati nzuri, nilikuwa nimeanza biashara ya kilimo na imenawiri. Lakini mke wangu...
NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA>>> WABUNGE wa Uganda wamekataa pendekezo la serikali kuruhusu wasichana wenye umri wa miaka 15...
Na RICHARD MUNGUTI WAKENYA sasa wanaweza kuanza kula mahindi yaliyokuzwa kisayansi baada ya Mahakama Kuu ya Kenya kutupilia mbali kesi ya...
STANLEY KIMUGE na BARNABAS BII WATAALAMU wa Masuala ya Kilimo wameibua wasiwasi kuhusu kuendelea kupanda kwa bei ya unga licha ya...
NA FRIDAH OKACHI WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Masinde Muliro (MMUST) hawataruhusiwa kuvalia mavazi mafupi, nguo...
NA SAMMY KIMATU MAAFISA wamefanya msako mkali na kunasa vileo haramu katika mitaa ya mabanda ya Mukuru-Commercial na Mukuru-Mariguini,...
NA BENSON MATHEKA AFISA wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) aliyefariki baada ya kujipiga risasi Jumatano, alikuwa amebakisha...
NA TITUS OMINDE BARAZA la Maimamu na Wahubiri (CIPK) North Rift limetangaza litaendelea kufanya maandamano kila siku kushinikisha...
SHANGAZI; Naumia sana moyoni kwa mapenzi ya mwanamume jirani yangu mtaani. Najua si kawaida ya mwanamke kumtongoza mwanamume lakini...
NA JOSEPH OPENDA RAIS William Ruto ameamuru maafisa 29 wa Shirika la Huduma za Misitu Nchini (KFS), waliohusishwa na shughuli za ufisadi...
SHANGAZI; Nina umri wa miaka 35. Imekuwa vigumu kwangu kupata mpenzi kutokana na hali yangu ya kuogelea bila kufika ukingoni. Hali hiyo...