• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Pombe ya makore yatia doa Lamu, walevi wakigeuza vichaka lojing’i za uzinzi

NA KALUME KAZUNGU TANGU jadi, unaposikia jina ‘Lamu’ mara nyingi taswira inayojichora akilini ni tabia nzuri, nidhamu, uswalihina na...

Mke anataka kuniacha sababu mimi ni mkulima

SHANGAZI; Niliachishwa kazi mapema mwaka huu. Kwa bahati nzuri, nilikuwa nimeanza biashara ya kilimo na imenawiri. Lakini mke wangu...

Wabunge wakataa wasichana matineja wasipewe tembe za kuzuia mimba

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA>>> WABUNGE wa Uganda wamekataa pendekezo la serikali kuruhusu wasichana wenye umri wa miaka 15...

Mahakama yaruhusu Wakenya wale mahindi GMO

Na RICHARD MUNGUTI WAKENYA sasa wanaweza kuanza kula mahindi yaliyokuzwa kisayansi baada ya Mahakama Kuu ya Kenya kutupilia mbali kesi ya...

Wataalamu waonya bei ya unga itaendelea kupanda

STANLEY KIMUGE na BARNABAS BII WATAALAMU wa Masuala ya Kilimo wameibua wasiwasi kuhusu kuendelea kupanda kwa bei ya unga licha ya...

Hakuna kuvalia ‘crocs’ wakati wa shughuli rasmi za masomo chuoni MMUST

NA FRIDAH OKACHI WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Masinde Muliro (MMUST) hawataruhusiwa kuvalia mavazi mafupi, nguo...

Maafisa waharibu lita 80 za chang’aa, wauzaji wakwepa mtego

NA SAMMY KIMATU MAAFISA wamefanya msako mkali na kunasa vileo haramu katika mitaa ya mabanda ya Mukuru-Commercial na Mukuru-Mariguini,...

Kachero wa DCI alijiua miezi miwili kabla ya kustaafu

NA BENSON MATHEKA AFISA wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) aliyefariki baada ya kujipiga risasi Jumatano, alikuwa amebakisha...

Waislamu North Rift wasisitiza ni sharti Mentor ifungwe kwa kuwavunjia heshima

NA TITUS OMINDE BARAZA la Maimamu na Wahubiri (CIPK) North Rift limetangaza litaendelea kufanya maandamano kila siku kushinikisha...

Naona aibu kumwambia mwanaume jirani yangu kuwa nampenda

SHANGAZI; Naumia sana moyoni kwa mapenzi ya mwanamume jirani yangu mtaani. Najua si kawaida ya mwanamke kumtongoza mwanamume lakini...

Ufisadi: Ruto aagiza maafisa 29 wa huduma za misitu wafutwe kazi

NA JOSEPH OPENDA RAIS William Ruto ameamuru maafisa 29 wa Shirika la Huduma za Misitu Nchini (KFS), waliohusishwa na shughuli za ufisadi...

Mademu wanikataa sababu naogelea usiku kucha bila kufika ukingoni

SHANGAZI; Nina umri wa miaka 35. Imekuwa vigumu kwangu kupata mpenzi kutokana na hali yangu ya kuogelea bila kufika ukingoni. Hali hiyo...