• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Akothee ajibu mashabiki wake kuhusu uraia wa Omosh

Na FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI na mfanyabiashara Esther Akoth almaarufu Akothee amekana madai kuwa mumewe anayeaminika kuwa kwenye mgogoro...

Mgogoro Meru: Wapinzani wa Mwangaza sasa wageukiana

NA GITONGA MARETE MZOZO unatokota miongoni mwa wapinzani wa Gavana wa Meru, Kawira Mwangaza kuhusu namna ya kugawana nyadhifa iwapo...

Waislamu wakashifu kitabu chenye mchoro wa Mtume unaotaka wanafunzi wapake rangi

NA WINNIE ATIENO WAUMINI wa dini ya Kiislamu wamekashifu vikali mchapishaji vitabu kwa kuchapisha kitabu chenye mchoro uliosemekana...

EACC yataka abiria wapige picha polisi fisadi wa trafiki

NA SIAGO CECE ABIRIA wameombwa kuripoti visa vyovyote vya maafisa wa trafiki wanaochukua hongo katika barabara kuu za nchini. Hii ni...

Utamaduni Dei: Taswira mseto mahasla wakifungua biashara zao, sekta ya uchukuzi ikilia

NA SAMMY KIMATU WAKENYA hawajajitokeza kwa wingi maeneo ya umma kuadhimisha Utamaduni Dei.  Katika mitaa ya mabanda ya Mukuru,...

Leo ni siku ambayo Rais Ruto aliahidi kukutana na Museveni kujadili usalama wa wavuvi

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto aliahidi kukutana na Rais wa Uganda Yoweri Museveni kushughulikia visa vya wavuvi wa Kenya...

Malala akemea wabunge Magharibi kutumia michango ya shule kujikweza kisiasa

NA JESSE CHENGE KATIBU Mkuu wa chama cha UDA, Cleophas Malala, ameelezea wasiwasi wake kuhusu kundi la wabunge wa Magharibi mwa Kenya...

Maisha kuzidi kuwa magumu stima ikiongezwa bei

Na SHABAN MAKOKHA WAKENYA watalipa pesa zaidi kama gharama ya matumizi ya stima baada ya mamlaka ya kusimamia kawi na mafuta (EPRA)...

Hakimu aliyekataa kuagiza baba mzazi alipie mahitaji yote ya watoto ajitetea

TITUS OMINDE na FRIDAH OKACHI HAKIMU mkuu Christine Menya amejitetea kwa kukataa kuagiza baba alipe malezi yote katika kesi iliyokuwa...

Wamuchomba asimulia alivyochapwa na babake kwa kutokea gazetini alipoibuka bora KCPE

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Githunguri Gathoni Wa Muchomba amefichua baadhi ya changamoto alizopitia akikua, mojawapo ikiwa adhabu kali kwa...

Demu anadai pesa ili anipe asali, huyo ni mpenzi aina gani?

SHANGAZI; Nimekuwa na mpenzi kwa miezi kadhaa. Nataka kuonja asali lakini amenipa sharti ambalo limenifanya nishuku si mtu mzuri....

Mudavadi akemea viongozi wa Nyanza kwa ‘kukalia fence’ kuhusu kumuunga Rais Ruto

Na SHABAN MAKOKHA MKUU wa Mawaziri Musalia Mudavadi amewaambia viongozi wa Upinzani kutoka Luo Nyanza kukomesha tabia aliyoitaja kama...