• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 2:29 PM

Demu anadai pesa ili anipe asali, huyo ni mpenzi aina gani?

SHANGAZI; Nimekuwa na mpenzi kwa miezi kadhaa. Nataka kuonja asali lakini amenipa sharti ambalo limenifanya nishuku si mtu mzuri....

Mudavadi akemea viongozi wa Nyanza kwa ‘kukalia fence’ kuhusu kumuunga Rais Ruto

Na SHABAN MAKOKHA MKUU wa Mawaziri Musalia Mudavadi amewaambia viongozi wa Upinzani kutoka Luo Nyanza kukomesha tabia aliyoitaja kama...

Dereva wa matatu mashakani kwa kuharibu ‘radio call’ ya polisi

NA RICHARD MUNGUTI DEREVA wa matatu ameshtakiwa kwa kumnyang’anya kimabavu afisa wa polisi redio yake ya mawasiliano (radio call) na...

Raia wa Tunisia aliyepatikana na pesa feki atakiwa kortini mara moja

NA RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA mkuu katika kesi ya kashfa ya dhahabu ya Sh1 bilioni iliyomuhusisha raia wa Tunisia ameagizwa ajisalamishe...

Ukatili: Mama akiuawa mbele ya wanawe Nakuru

NA JOHN NJOROGE POLISI eneo la Kuresoi Kaskazini, Nakuru wameanzisha uchunguzi kufuatia kisa ambapo mwanamke aliuawa kinyama mbele ya...

Wakazi waambukizwa ugonjwa hatari kwa kutumia maji pamoja na wanyama

NA SAMMY LUTTA MARADHI yasiyo ya kawaida yenye dalili za vipele, magoti dhaifu, homa na kutapika, yamewakumba wakazi wanaoishi katika...

Huzuni mtoto wa miaka 7 akipotea na kupatikana ameuawa Nakuru

NA MERCY KOSKEI POLISI katika Kaunti ya Nakuru wanachunguza kifo cha mvulana ambaye alitoweka katika mazingira tatanishi wiki iliyopita na...

Mwanakontenti Maureen amsifia aliyekuwa mumewe kwa kufungua GYM  

NA MERCY KOSKEI MWANAKONTENTI Maureen Waititu amempongeza baba ya watoto wake Frankie Just Gym It kwa kufungua kituo kipya cha mazoezi...

Raia wa Haiti ughaibuni waandamana wakiita Kenya kikaragosi cha Amerika kwa kukubali kutuma polisi nchini mwao

NA CHARLES WASONGA RAIA wa Haiti wanaoishi ughaibuni wameshutumu Kenya kwa kukubali kutuma polisi nchini mwao kudumisha amani na...

Mwanamke, 72, ataka hukumu kali dhidi ya mwanawe aliyeshtakiwa kwa kutishia kumuua

NA TITUS OMINDE MWANAMKE mwenye umri wa miaka 72 ambaye ni afisa mstaafu wa gereza alitokwa na machozi katika Mahakama ya Eldoret...

Wanafunzi: Kinachoendelea serikalini hatutaki kujua, tuulize kuhusu mada za burudani

NA LABAAN SHABAAN HATA kabla ya mavumbi kutua baada ya Rais William Ruto kufanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri, Taifa Leo iliingia...

NCIC yadai mauaji Lamu yanatokana na wenyeji kukerwa na ‘wageni’ kutawala uchumi

Na MARY WAMBUI TUME ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) inasema uchunguzi wao unaonyesha kuwa si mauaji yote yanayotokea Kaunti ya...