Na SHABAN MAKOKHA Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula, Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi, na Kiongozi wa Wengi Kimani Ichung’wa...
NA KALUME KAZUNGU SERIKALI imezindua ujenzi wa barabara za usalama Kaunti ya Lamu kusaidia kukabiliana na kero ya...
RUSHDIE OUDIA, MERCY SIMIYU NA COLLINS OMULO PENDEKEZO la Seneta Samson Cherargei wa Kaunti ya Nandi kwamba muhula wa kuhudumu wa rais...
NA JESSE CHENGE VIONGOZI wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) kutoka Bungoma wametoa wito kwa wenzao wa Ford Kenya na Amani...
NA JESSE CHENGE KATIBU Mkuu wa Chama cha United Democratic Alliance (UDA), Cleophas Malala, pamoja na viongozi wengine kutoka...
NA SAMMY WAWERU KUNDI moja la wazee Nairobi limempa barobaro marufuku ya mwezi mmoja kutokunywa nao pombe, kwa kubugia kileo kabla...
NA MERCY KOSKEI MAAFISA wa polisi katika katika Kaunti Ndogo ya Narok Kaskazini wanachunguza kisa ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka...
NA RICHARD MAOSI LICHA ya sehemu nyingi katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mau Summit kutajwa kuwa hatari, bado wafanyibiashara...
NA RUTH MBULA POLISI Kisii wanachunguza kisa kimoja ambapo inadaiwa mwalimu mmoja wa kiume alimuitwa mwanafunzi kuenda kutumbuiza wageni...
NA RICHARD MAOSI WANAHABARI wa kutoka Shirika la Nation Media Group (NMG) wametia fora kwenye tuzo za OFAB Media Awards 2023,...
Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer, amekiri kuwa ubabe wa Man-United sasa umeporomoka...
NA TITUS OMINDE MWANAMUME mmoja ambaye alikiri shtaka la kumjeruhi mke wake pamoja na shemeji yake aliambia mahakama kuwa alimjeruhi...