• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 5:50 AM

Tunaomba uvumilivu kidogo tu tunatengeneza uchumi, Weta na Mudavadi wasihi Wakenya

Na SHABAN MAKOKHA Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula, Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi, na Kiongozi wa Wengi Kimani Ichung’wa...

Ujenzi wa barabara Lamu kukabiliana na Al-Shabaab  

NA KALUME KAZUNGU SERIKALI imezindua ujenzi wa barabara za usalama Kaunti ya Lamu kusaidia kukabiliana na kero ya...

Urais: Cherargei alimwa na viongozi wa upinzani

RUSHDIE OUDIA, MERCY SIMIYU NA COLLINS OMULO PENDEKEZO la Seneta Samson Cherargei wa Kaunti ya Nandi kwamba muhula wa kuhudumu wa rais...

Mudavadi na Wetangula waombwa kuheshimu Malala

NA JESSE CHENGE VIONGOZI wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) kutoka Bungoma wametoa wito kwa wenzao wa Ford Kenya na Amani...

Mudavadi na Wetangula watakiwa kuvunja vyama vyao wajiunge na UDA

NA JESSE CHENGE  KATIBU Mkuu wa Chama cha United Democratic Alliance (UDA), Cleophas Malala, pamoja na viongozi wengine kutoka...

Wazee wampa kijana marufuku ya muda kwa kunywa pombe kabla haijatakaswa

NA SAMMY WAWERU  KUNDI moja la wazee Nairobi limempa barobaro marufuku ya mwezi mmoja kutokunywa nao pombe, kwa kubugia kileo kabla...

Huzuni baba akiua mwanawe Narok kwa kumkatakata kwa kisu  

NA MERCY KOSKEI MAAFISA wa polisi katika katika Kaunti Ndogo ya Narok Kaskazini wanachunguza kisa ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka...

Wachuuzi wanavyohatarisha maisha yao Nairobi-Nakuru Highway

NA RICHARD MAOSI LICHA ya sehemu nyingi katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mau Summit kutajwa kuwa hatari, bado wafanyibiashara...

Polisi wachunguza kisa cha mwalimu kuita mwanafunzi atumbuize wageni kumbe anamnyemelea

NA RUTH MBULA POLISI Kisii wanachunguza kisa kimoja ambapo inadaiwa mwalimu mmoja wa kiume alimuitwa mwanafunzi kuenda kutumbuiza wageni...

Wanahabari wa NMG wazoa tuzo za OFAB-Kenya

NA RICHARD MAOSI WANAHABARI wa kutoka Shirika la Nation Media Group (NMG) wametia fora kwenye tuzo za OFAB Media Awards 2023,...

Man-U imeisha hakuna timu hapo, Ole Gunnar atoboka!

Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer, amekiri kuwa ubabe wa Man-United sasa umeporomoka...

Mwanamume adai yeye ni yatima anayehitaji kuwa na watoto wengi asihatarishe kizazi

NA TITUS OMINDE MWANAMUME mmoja ambaye alikiri shtaka la kumjeruhi mke wake pamoja na shemeji yake aliambia mahakama kuwa alimjeruhi...