• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:01 AM

Mkenya mashakani Tanzania kwa kuishi nchini humo bila kibali

Na HADIJA JUMANNE, Mwananchi Communications Limited Dar-es-Salaam Raia wa Kenya anazuiliwa katika rumande baada ya kufikishwa kortini...

Viatu vya Uhuru sasa vyamfinya Rais William Ruto

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto amejipata katika hali sawa na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta huku akiandamwa au kujipata katika...

Wizi wa mafuta ya transfoma unavyoacha wakazi wa Maai-Mahiu, Suswa kwenye giza kila mara

NA RICHARD MAOSI Wezi katika kituo cha kibiashara cha Maai Mahiu - Suswa kwa siri wanauza mafuta ya transfoma kwa wachuuzi wa chakula...

Wakenya wakisota, kuna Sh28 milioni zimekosa wenyewe Nyandarua

KNA na LABAAN SHABAAN Yamkini kuna wananchi wanalala njaa sasa kwa sababu mifuko yao imetoboka lakini hawajui pesa zao ziko kortini...

NILIKUSALITI, NISAMEHE: Mbunge wa zamani wa Kesses Swarup Mishra anyenyekea kwa Ruto

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA mbunge wa Kesses, Bw Swarup Mishra, ameomba msamaha kwa Rais William Ruto na jamii ya Wakalenjin kwa...

Uhuru, mamake wavunja kimya na kumuomboleza shujaa wa Mau Mau Kirima siku ya mazishi

Na LABAAN SHABAAN Kimya cha Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kimekuwa na mshindo mkuu miongoni mwa Wakenya siku za hivi karibuni. Haya ni...

Mwanamume mpenzi wangu alichovya nje nikamtema, sasa nahisi upweke

SHANGAZI; Nilimuacha mpenzi wangu nilipogundua ananicheza na mwanamke rafiki yangu. Nimeamua kutafuta mwingine lakini imekuwa vigumu kwa...

Waumini wabaki na mshtuko kanisa la thamani ya Sh650 milioni likiamuriwa libomolewe

Na STANLEY NGOTHO HUENDA Kanisa la PCEA Kitengela kaunti ya Kajiado lenye thamani ya Sh650 milioni likabomolewa baada ya Mahakama Kuu...

Mganga aliyemtapeli Mungatana Sh76m kujitetea Jumanne ijayo

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Chad ambaye mahakama ya Milimani Nairobi imesema yuko na kesi ya kujibu kwa kumlaghai Seneta wa Tana River...

Mshukiwa wa mauaji ya kikatili ya Afisa Mkuu wa Fedha atambuliwa kuwa tineja

Na LABAAN SHABAAN Makachero wa Idara ya Ujasusi wa Jinai (DCI) wamepata mavazi yanayoaminiwa kuvaliwa na mshukiwa mkuu wa mauaji ya...

Wakulima wataka serikali iwape bima ikiwa El Nino itaharibu mazao yao

TOM MATOKE na EVANS JAOLA Kenya inafaa kuanzisha kampuni ya bima ya kufidia wakulima wa mashamba madogo ambao huenda mimea yao ikaharibiwa...

Nyumba 80 zateketea Mukuru, wakazi 200 wakilazimika kuvumilia mvua, baridi kali

NA SAMMY KIMATU WATU zaidi ya 200 walivumia baridi kali usiku baada ya nyumba 80 kuteketea usiku wa kuamkia leo Ijumaa. Naibu...