• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:55 AM

Mbunge Salasya aanikwa kwa kuruka deni

Na LABAAN SHABAAN Mbunge wa Mumias Mashariki Bw Peter Salasya ameanikwa paruwanja kwa madai ya kukwepa deni la Sh165,000 alipokuwa...

Bakora ya serikali sasa yaangukia bodaboda

NA WANDERI KAMAU WAHUDUMU wa bodaboda sasa watatozwa faini kali kwa kiukiuka sheria za trafiki au kubeba mizigo kupita kiasi, ikiwa Seneti...

Hasla: Wachuuzi 40 wazuiwa kufanya biashara zao mjini

NA STEPHEN MUNYIRI KARIBU wachuuzi 40 wa vyakula mnamo Jumanne usiku walikamatwa na polisi mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri “katika...

Chifu ashambuliwa kwa kujaribu kusimamisha disko matanga Kisumu

NA MERCY KOSKEI CHIFU  mmoja kutoka Kaunti ya Kisumu anauguza majeraha baada ya kushambuliwa na wanakijiji wenye ghadhabu, alipokuwa...

Korti yaamua aliyemuosha Mungatana Sh76m ana kesi ya kujibu

NA RICHARD MUNGUTI RAIA wa Chad anayedaiwa alimlaghai Seneta wa Tana River Danson Mungatana kitita cha Sh76 milioni akitumia nguvu za...

Wito mashamba makubwa ya kilimo yalindwe kazi zisipotee

NA LAWRENCE ONGARO MKURUGENZI wa kampuni ya Delmonte anayeondoka Bw Stregios Gkaliamoutsas, amesema kuna haja ya mashamba makubwa ya...

Kikosi spesheli kutumwa Tana River na Lamu

NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Profesa Kithure Kindiki akiwa katika eneo la Wayu, Galledyertu katika Kaunti ya Tana...

Chiloba asema tuhuma dhidi yake ni ‘madai tu’

NA CHARLES WASONGA MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (CA) aliyesimamishwa kazi, Ezra Chiloba, amekana tuhuma...

Jinsi watalii wawili walivyopoteza mali ya thamani wakiogelea

NA FARHIYA HUSSEIN WATALII wawili waliokuwa wamezuru Kaunti ya Mombasa wamekwama baada ya kuibiwa bidhaa zao ndani ya hoteli eneo la...

Penzi la mubaba tamu nashindwa kumuacha

SHANGAZI; Mpenzi wangu ni mume wa mtu. Ana umri wa miaka 46 nami nina miaka 28. Penzi lake tamu limenizuzua na sijui kama naweza kupenda...

Hofu ya kupoteza kazi Bandari yaweka umoja wa viongozi wa pwani kwenye mizani

NA WAANDISHI WETU MIPANGO ya serikali ya kitaifa kuruhusu wawekezaji wa kibinafsi kusimamia sehemu za bandari za Mombasa na Lamu, imeibua...

Seneta, wenzake wataka kuilipa kampuni iliyowashtaki Sh269 milioni

NA RICHARD MUNGUTI KESI dhidi ya Seneta wa Trans-Nzoia Allan Chesang anayeshtakiwa kulaghai kampuni ya Makindu Motors Limited inayouza...