Na JOSEPH NDUNDA “MANABII” wawili feki waliodaiwa kumwibia mwanafunzi mmoja wa chuo simu ya rununu na Sh1,200 wakijifanya kumwombea...
NA TOM MATOKE MWILI wa mfanyabiashara kutoka Kaunti ya Nandi aliyeaga dunia katika hali tatanisha miaka mitatu iliyopita, umelazimika...
NA LAWRENCE ONGARO KAMPUNI ya Delmonte ilifanya makubaliano na wafanyakazi zaidi ya 6,500 kuwapa nyongeza ya mishahara, hii ikiwa habari...
NA JULIANS AMBOKO HUENDA serikali ikaendelea kuwatoza Wakenya ushuru zaidi ili kulipia mishahara na kufadhili bajeti ya ziada, baada yake...
Na MWANDISHI WETU SOSHOLAITI Huddah Monroe amedai kuwa Rais William Ruto atakuwa rais mbovu zaidi katika historia ya Kenya. Monroe...
NA KALUME KAZUNGU HUKU maeneo mengi ya Kenya yakijivunia kuboreshwa kwa miundomsingi ikiwemo barabara, reli ya kisasa, viwanja vya ndege...
NA WANDERI KAMAU WANASIASA tofauti nchini wanaonekana kuanza kampeni za mapema kuhusu uchaguzi mkuu wa 2027, wengi sasa wakianza...
SHANGAZI, Nina mpenzi ambaye nampenda kwa moyo wangu wote. Tatizo ni kwamba nimezoea kulamba asali nje. Nahisi vibaya kwa kumkosea na...
NA WAANDISHI WETU WAENDESHAJI magari mjini Namanga sasa wamegeukia kununua mafuta katika taifa jirani la Tanzania huku bei ghali za bidhaa...
NA MARY WANGARI JUHUDI za kukabiliana na milipuko na majanga ya maradhi mbalimbali yanayoambukizwa kupitia maeneo ya mipaka nchini...
NA BRIAN OCHARO MHUBIRI anayehusishwa na vifo vya vya Shakahola, Paul Mackenzie, na washukiwa wenzake 29 wataendelea kuzuiliwa na polisi...
NA DAVID MUCHUI VURUGU zilizuka Jumapili Septemba 17, 2023 katika kanisa la Gavana wa Meru Kawira Mwangaza wakati wa hafla ya kutoa msaada...