• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Maafisa wasaka Al-Shabaab waliojeruhi mhandisi Lamu

NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa usalama, Kaunti ya Lamu wanaendeleza operesheni ya kuwasaka washukiwa wa kundi la Al-Shabaab waliotekeleza...

Museveni adai wanaokula kuku huwa na mienendo hafifu

NA WINNIE ONYANDO RAIS wa Uganda Yoweri Museveni ameeleza kwamba aliacha kula nyama ya kuku, samaki, nguruwe na nyama ya kondoo kwa sababu...

Vibiritingoma waliovamia mitaani wafanya waume wengi kukwepa kanisa, Wahubiri walalamika

NA MWANGI MUIRURI BAADHI ya viongozi wa makanisa yaliyo mjini Thika katika Kaunti ya Kiambu, wameibua malalamiko wakisema idadi ya...

Wanaume 3 wanaswa Bungoma kwa kuitisha hongo kwa vijana waliotaka kuingia jeshini

NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Bungoma mnamo Ijumaa, Septemba 8, 2023, waliwatia mbaroni washukiwa watatu katika...

Gavana Samboja aliyebwagwa uchaguzini ‘ashukuru’ wakazi kwa kura zao chache

NA LUCY MKANYIKA Aliyekuwa Gavana wa Taita Taveta Granton Samboja alifanya ziara katika kijiji cha Mkamenyi, kaunti ndogo ya Voi ...

Utafiti wabaini ARVs hutumika kunenepesha kuku, nguruwe

Na ALBETINA MENA, Mwananchi Communication Limited Kamati ya Bunge kuhusu Virusi vya Ukimwi nchini Uganda imepewa taarifa na mamlaka ya...

Zizi la Man United laungua nyota mwingine akipatwa na kashfa ya mapenzi

CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA FOWADI wa Manchester United na timu ya taifa ya Brazil, Antony dos Santos, anachunguzwa na polisi nchini...

TUONGEE KIUME: Kutuma nauli na utapeli mwingine wa baadhi ya wanawake

Na KELVIN KAGAMBO, Mwananchi Communications Limited Kama hujawahi kutapeliwa na mwanamke, unastahili pongezi. Takwimu tunazokusanya...

Umaarufu wa Raila na Azimio eneo la Maa wafifia, wa Ruto ukipanda

ROBERT KIPLAGAT na CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Kenya Kwanza wake Rais William Ruto unaonekana kupenya katika eneo la Maa ambalo hapo...

Mandonga afunguka kuhusu kuacha ngumi baada ya kutandikwa tena Zanzibar

Na CECIL ODONGO Bondia maarufu Tanzania Karim Mandonga maarufu kama ‘Mandonga Mtu Kazi' ameashiria kuwa huenda akastaafu  baada ya...

Mapato ya wafanyakazi kuendelea kunyofolewa

CECIL ODONGO na RICHARD MUNGUTI WAKENYA, hasa wafanyakazi wanatarajiwa kuendelea kufyonzwa zaidi kufuatia kuwasilishwa bungeni kwa...

Mtundu Sasha Obama apigwa picha akivuta bangi

NA RICHARD MAOSI Sasha Obama, mwanawe Rais wa 44 wa Marekani Barack Obama kwa mara nyingine ameonyesha utundu wake mitandaoni baada ya...