Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa zamani wa Nairobi sasa anaweza kupumua baada ya Mamlaka ya Ushuru nchini (KRA) kumuondolea kesi ya ushuru...
NA TITUS OMINDE Mbunge Mwakilishi wa Wanawake katika kaunti ya Trans Nzoia Lilian Siyoi amewataka wajane kuoana ili kupunguza idadIi ya...
Na ALEX NJERU Diwani wa bunge la Kaunti ya Tharaka Nithi Morris Maugu ameshtakiwa katika mahakama ya Chuka kwa kumteka nyara na kumpiga...
Na JANET KAVUNGA DIANI, KWALE MALIMWENGU hayaishi kamwe. Mwanadada wa hapa na mpenzi wake walikubaliana kila mmoja aruhusu mwenzake...
NA MARY WANGARI RAIS William Ruto ameonya mataifa ya bara la Afrika dhidi ya kutumia mapinduzi kusuluhisha tofauti za kisiasa na badala...
NA MWANGI MUIRURI MJI wa Maragua ulio katika Kaunti ya Murang’a umejipa sifa mbaya ya kuwa ngome ya magenge ya uhalifu ambayo yakiwa...
NA MERCY KOSKEI AFISA mmoja mkuu wa polisi anayehusishwa na mauaji ya Whitney Atieno, mwanafunzi wa shule ya upili, katika mtaa wa Lake...
NA MWANGI MUIRURI ASILIMIA 40 ya wanawake mjini Maragua ni walevi kupindukia wakitajwa hukesha kwenye mabaa, kamati ya Kiusalama...
NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Murang'a wamevamia baa moja na kunasa wanawake watatu waliokuwa wakinengulia...
NA BRIAN OCHARO MWANAMUME mwenye umri wa miaka 32 ameiomba Mahakama ya Mombasa kumsukuma gerezani mara moja ili aweze kupata chakula...
NA MWANGI MUIRURI WAZEE wa Gikuyu, Embu na Meru (Gema) sasa wanaitaka serikali ikome kuharamisha ubebaji wa silaha za kitamaduni...
NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amefichua kuwa alikuwa miongoni mwa viongozi walioalikwa kuendesha baiskeli na Mama wa...