• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 3:09 PM

KRA yaondolea Kidero kesi ya ushuru wa Sh427 milioni

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa zamani wa Nairobi sasa anaweza kupumua baada ya Mamlaka ya Ushuru nchini (KRA) kumuondolea kesi ya ushuru...

Mbunge ataka wajane waoane ili kupunguza upweke

NA TITUS OMINDE Mbunge Mwakilishi wa Wanawake katika kaunti ya Trans Nzoia Lilian Siyoi amewataka wajane kuoana ili kupunguza idadIi ya...

Diwani wa UDA ashtakiwa kumteka nyara na kumpiga mwalimu

Na ALEX NJERU Diwani wa bunge la Kaunti ya Tharaka Nithi Morris Maugu ameshtakiwa katika mahakama ya Chuka kwa kumteka nyara na kumpiga...

Ajabu mume na mke wakubaliana kuchuuza uroda ili wapate mali

Na JANET KAVUNGA DIANI, KWALE MALIMWENGU hayaishi kamwe. Mwanadada wa hapa na mpenzi wake walikubaliana kila mmoja aruhusu mwenzake...

Ruto alionya bara kuhusu mapinduzi

NA MARY WANGARI RAIS William Ruto ameonya mataifa ya bara la Afrika dhidi ya kutumia mapinduzi kusuluhisha tofauti za kisiasa na badala...

Baadhi ya wanawake ambao magenge ya uhalifu Maragua yameua

NA MWANGI MUIRURI MJI wa Maragua ulio katika Kaunti ya Murang’a umejipa sifa mbaya ya kuwa ngome ya magenge ya uhalifu ambayo yakiwa...

Afisa aliyeangamiza mtoto Juni 12, 2022 hajaadhibiwa mwaka mmoja baadaye

NA MERCY KOSKEI AFISA mmoja mkuu wa polisi anayehusishwa na mauaji ya Whitney Atieno, mwanafunzi wa shule ya upili, katika mtaa wa Lake...

Asilimia 40 ya wanawake Maragua, Murang’a ni walevi, serikali yafichuka

NA MWANGI MUIRURI  ASILIMIA 40 ya wanawake mjini Maragua ni walevi kupindukia wakitajwa hukesha kwenye mabaa, kamati ya Kiusalama...

Vipusa 3 wakamatwa Murang’a wakinengulia walevi viuno wakiwa uchi kwenye baa  

NA MWANGI MUIRURI  MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Murang'a wamevamia baa moja na kunasa wanawake watatu waliokuwa wakinengulia...

Aililia mahakama asukumwe jela ili apate mlo wa bure

NA BRIAN OCHARO MWANAMUME mwenye umri wa miaka 32 ameiomba Mahakama ya Mombasa kumsukuma gerezani mara moja ili aweze kupata chakula...

Wazee Mlima Kenya wataka waruhusiwe kutembea na visu, marungu

NA MWANGI MUIRURI WAZEE wa Gikuyu, Embu na Meru (Gema) sasa wanaitaka serikali ikome kuharamisha ubebaji wa silaha za kitamaduni...

Sababu ya Sakaja kukataa kuendesha baiskeli na Mama wa Taifa

NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amefichua kuwa alikuwa miongoni mwa viongozi walioalikwa kuendesha baiskeli na Mama wa...