• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 6:09 PM

Timamy mbioni kuinua uvuvi Lamu, Sh66m zikitolewa kufadhili miradi

NA KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imeanzisha harakati za kuinua sekta ya uvuvi na uhifadhi wa mazingira na jamii, ikiwemo...

Pasta mashakani kwa kuhangaisha wafuasi wake kingono

NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wanamsaka mchungaji wa kanisa la Pentecostal Assemblies of God (PAG), anayedaiwa kunajisi...

Ukosefu wa maji salama tishio kwa lishe na usafi – ripoti

NA MWANGI MUIRURI KAUNTI ya Murang’a imeshindwa kufanikisha malengo ya Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu lishe na usafi kutokana na ukosefu...

Kibarua kizito Murang’a kinachomsubiri kamishna Joshua Nkanatha

NA MWANGI MUIRURI KUMEZUKA furaha katika Kaunti ya Murang'a kufuatia kuhamishwa kwa Kamishna Patrick Mukuria. Bw Mukuria alipewa...

Washukiwa sita wakamatwa kwa kuteketeza bangi, kusaidia mlanguzi kutoroka

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang'a wametia mbaroni washukiwa sita ambao inadaiwa waliteketeza bangi ya thamani ya...

Soko la Kwa Jiwa lasalia mahame wafanyabiashara wakilalamikia mazingira duni

NA ALEX KALAMA SOKO la Kwa Jiwa lililoko katikati ya mji wa Malindi lilisalia mahame mnamo Ijumaa baada ya wafanyibiashara wa soko hilo...

Simba wageuka sinema ya bure kwa wasafiri barabarani

NA WANDERI KAMAU BAADHI ya wasafiri waliokuwa wakielekea mjini Nyeri kutoka Nyahururu, Jumatano usiku walilazimika kukatiza safari yao kwa...

Jinsi vishoroba vya mji wa Lamu vinavyomtambua mgeni na mwenyeji

NA KALUME KAZUNGU MJI wa Kale wa Lamu ni wa aina yake kutokana na kukithiri kwa vishoroba na vichochoro vingi kwenye mji huo wa...

Ukusanyaji wa mapato Nairobi wasalia ‘pasua kichwa’

NA WINNIE ONYANDO SUALA la kutambua kwa kina namna wavuti maalum wa kukusanya mapato Kaunti ya Nairobi inavyofanya kazi, linaendelea...

Wazazi wa Isongo washtakiwa kwa kuvuruga amani shuleni

NA SHABAN MAKOKHA WAZAZI wanne wa wanafunzi wa Shule ya Upili St Gabriel Isongo, wamefikishwa katika mahakama ya Mumias kufuatia...

Dennis Onsarigo ajiuzulu kazi Nyamira akilalamikia ubovu wa vyoo

NA WYCLIFFE NYABERI MWANAHABARI Dennis Onsarigo aliyejizolea umaarufu kwa kuangazia maswala ya uhalifu, amejiuzulu kutoka kwa wadhifa...

Polisi wa akiba auawa na majangili Laikipia

NA MWANGI NDIRANGU POLISI wa akiba (NPR) ameuawa kwa kupigwa risasi na wenzake watano kujeruhiwa na majangili waliotekeleza uvamizi...