• Nairobi
  • Last Updated December 3rd, 2023 4:30 PM

Israel yaanza tena kulipua Gaza muda wa kusitisha mapigano ukifika mwisho

NA AFP ISRAEL, JERUSALEM JESHI la Israeli limeanza tena mapigano Gaza, huku mashambulizi ya anga na risasi yakiripotiwa katika mji wa...

Ajuza wa miaka 70 akaidi sayansi na kujifungua mapacha

KAMPALA, Uganda NA DAILY MONITOR MWANAMKE mwenye umri wa miaka 70 ameshangaza wengi baada ya kujifungua pacha na kukaidi sayansi kwamba...

Milio ya risasi kutulia kwa muda katika Ukanda wa Gaza

NA MASHIRIKA JERUSALEM, ISRAELI PANDE hasimu za Israeli na kundi la Hamas zimekubali kurefusha muda wa kusitisha mapigano kwa siku mbili...

Israeli na Hamas wabadilishana wafungwa na waliokuwa wametekwa

NA MASHIRIKA GAZA, Palestine KUNDI la Hamas limeachilia mateka 24 waliokuwa wamezuiliwa Gaza kwa juma kadhaa na wafungwa 29 wa...

Afrika Kusini yapiga kura ya kuvunja uhusiano na Israel kwa sababu ya ‘ukatili’

NA MASHIRIKA PRETORIA, AFRIKA KUSINI WABUNGE nchini Afrika Kusini walipiga kura siku ya Jumanne kuunga mkono kufungwa kwa ubalozi wa...

Raia wa Gaza wapitia mateso ya kutisha hospitali zote zikisitisha huduma

NA MASHIRIKA PALESTINA, GAZA SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA limeonya kwamba bohari yake ya...

Wanajeshi 2 wa Uganda wahukumiwa kwa kutoroka Al-Shabaab walipovamia kambi

NA MASHIRIKA MAHAKAMA moja ya kijeshi nchini Uganda imewapata wanajeshi wawili na hatia ya kuwa waoga, wakati wanajeshi wa taifa hilo...

Mamia ya watu waripotiwa kuuawa katika vita magharibi mwa Sudan

Na XINHUA KHARTOUM, SUDAN MAMIA ya watu wameuawa na wengine kudhulumiwa katika mapigano katika jimbo la Darfur magharibi mwa Sudan,...

Amerika kwa mara nyingine yapatanisha Rwanda na DRC

Na MASHIRIKA KIGALI, RWANDA AMERIKA kwa mara nyingine imejaribu kuleta upatanisho kati ya marais wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

Tanzania yakosolewa vikali kufuatia operesheni yake ya kukomesha ukahaba

NA MASHIRIKA DAR-ES-SALAAM, TANZANIA SERIKALI ya Tanzania imekosolewa vikali kutokana na vita yake dhidi ya ukahaba kwa kufanya msako...

Wakuu wa shule waadhibiwa kwa kuruhusu watoto kucheza wimbo wa Zuchu ‘Honey’

Dar es Salaam, Tanzania NA MWANANCHI COMMUNICATIONS LIMITED Baada ya kusambaa kwa kipande cha video kinachowaonyesha wanafunzi wa...

Israel yaua 47 katika kambi ya wakimbizi Gaza ikiandama kamanda wa Hamas

Na AFP UKANDA WA GAZA, Palestina WATU 47 wameuawa baada ya wanajeshi wa Israeli kushambulia kambi kubwa ya wakimbizi katika Ukanda wa...