• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:46 PM

Mama, 75, ashinda kesi ya kufurusha wanawe wa kiume wasiochangia hata kitunguu licha ya kufanya kazi

NA MASHIRIKA PAVIA, ITALIA MWANAMKE mmoja nchini Italia amechukua hatua ya kisheria kuwatimua wanawe wawili wa kiume wenye umri wa...

Hamas yasema haitaachilia mateka wa Israel mpaka vita vikome

NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI AFISA wa Hamas amesema kundi linalotawala Gaza halitaachilia huru waliotekwa hadi makubaliano ya kusitisha...

Hamas yaachilia mateka wawili wakongwe wa Israel misaada ikianza kumiminika Gaza

NA XINHUA JERUSALEM, ISRAELI WANAWAKE wawili wakongwe waliotekwa nyara na Hamas waliachiliwa jana huku Israeli ikiimarisha mashambulizi...

Amerika yaambia kampuni, raia wake wasianzishe biashara Uganda

NA MASHIRIKA WASHINGTON, AMERIKA WIZARA za Masuala ya Nje, Ajira, Afya na Huduma za kibinadamu, Biashara, na shirika la Maendeleo la...

Hali tete miili ikianza kuzagaa Gaza huku Israel ikipanga mashambulio ya ardhini

JERUSALEM, ISRAELI NA MASHIRIKA ISRAELI jana iliendelea kuushambulia vikali ukanda wa Gaza kwa makombora ya ndege, huku vikosi vyake...

Jinsi mwanamume aliyebakwa anaweza kulinda ushahidi

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUME aliyebakwa anahitaji kujifunga leso ili kuzuia kufuta ushahidi kabla ya kufanyiwa vipimo hospitalini,...

Waziri Mkuu wa Italia amtema mchumba wake kwa kauli zake za ‘ufisi’

NA MASHIRIKA ROME, ITALIA WAZIRI Mkuu wa Italia Giorgia Meloni amemtema mpenzi wake wa takriban miaka 10 Andrea Giambruno. Meloni...

Maji yamkaribia Trump shingoni mshirika wake wa pili akikiri kujaribu kubatilisha kura ya urais ili kumfaidi

LABAAN SHABAAN na MASHIRIKA WAKILI Sidney Powell amekiri alikula njama ya kupindua matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Georgia kwa...

Wanamapinduzi Niger wadai wamezima jaribio la Rais Bazoum kutoroka jela akitumia helikopta

NA MASHIRIKA NIAMEY, NIGER WATAWALA wa kijeshi Niger walisema kuwa Rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Bazoum, alijaribu kutoroka siku...

Utajiri wa watu wa Dar waongezeka

NA EPHRAIM BAHEMU, Mwananchi DAR ES SALAAM, TANZANIA TAKWIMU mpya za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonyesa ongezeko la asilimia tano...

Kituo cha kurekebisha shepu na kuchonga makalio chazinduliwa Muhimbili-Mloganzila

NA HERIETH MAKWETTA DAR ES SALAAM, TANZANIA HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila inatarajia kufanya huduma za kibingwa bobezi za...

Israel yasema wanajeshi wake 169 wameangamia huku wakiendelea kunyeshea makombora Gaza

JERUSALEM, Israeli Na AFP WANAJESHI 169 wa Israeli wameuawa katika mapigano dhidi ya kundi la wapiganaji wa Kipalestina, Hamas, jeshi la...