NA MASHIRIKA PAVIA, ITALIA MWANAMKE mmoja nchini Italia amechukua hatua ya kisheria kuwatimua wanawe wawili wa kiume wenye umri wa...
NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI AFISA wa Hamas amesema kundi linalotawala Gaza halitaachilia huru waliotekwa hadi makubaliano ya kusitisha...
NA XINHUA JERUSALEM, ISRAELI WANAWAKE wawili wakongwe waliotekwa nyara na Hamas waliachiliwa jana huku Israeli ikiimarisha mashambulizi...
NA MASHIRIKA WASHINGTON, AMERIKA WIZARA za Masuala ya Nje, Ajira, Afya na Huduma za kibinadamu, Biashara, na shirika la Maendeleo la...
JERUSALEM, ISRAELI NA MASHIRIKA ISRAELI jana iliendelea kuushambulia vikali ukanda wa Gaza kwa makombora ya ndege, huku vikosi vyake...
NA FRIDAH OKACHI MWANAMUME aliyebakwa anahitaji kujifunga leso ili kuzuia kufuta ushahidi kabla ya kufanyiwa vipimo hospitalini,...
NA MASHIRIKA ROME, ITALIA WAZIRI Mkuu wa Italia Giorgia Meloni amemtema mpenzi wake wa takriban miaka 10 Andrea Giambruno. Meloni...
LABAAN SHABAAN na MASHIRIKA WAKILI Sidney Powell amekiri alikula njama ya kupindua matokeo ya uchaguzi wa Jimbo la Georgia kwa...
NA MASHIRIKA NIAMEY, NIGER WATAWALA wa kijeshi Niger walisema kuwa Rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Bazoum, alijaribu kutoroka siku...
NA EPHRAIM BAHEMU, Mwananchi DAR ES SALAAM, TANZANIA TAKWIMU mpya za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinaonyesa ongezeko la asilimia tano...
NA HERIETH MAKWETTA DAR ES SALAAM, TANZANIA HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila inatarajia kufanya huduma za kibingwa bobezi za...
JERUSALEM, Israeli Na AFP WANAJESHI 169 wa Israeli wameuawa katika mapigano dhidi ya kundi la wapiganaji wa Kipalestina, Hamas, jeshi la...