• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 3:24 PM

Msanii wa Amerika Jason Derulo ashtakiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia na ngono

NA MERCY KOSKEI MWIMBAJI wa Amerika Jason Derulo ameshtakiwa kwa unyanyasaji wa kijinsia na msanii wa kike ambaye alikuwa anarekodi...

Rais Ruto, Mwenyekiti wa AU Moussa Faki watofautiania kuhusu vita kati ya Israel na Palestina

NA LABAAN SHABAAN KENYA imechukua msimamo tofauti na Umoja wa Afrika (AU) kuhusu vita vinavyoendelea kati ya Israel na...

Kunguni: Algeria yapiga dawa kwa vyombo vya usafiri vya kuenda na kutoka nchini Ufaransa

NA MASHIRIKA ALGIERS, ALGERIA MAMLAKA nchini Algeria zimeimarisha hatua za afya katika mipaka yake ili kupunguza kuenea kwa kunguni,...

Wanawake wanaovaa vimini na suruali za kuonyesha shepu ya makalio kutozwa faini Sh3,000

NA JANETH MUSHI, MWANANCHI ARUSHA, TANZANIA KUTOKANA na kuporomoka kwa maadili hasa kwa vijana katika maeneo mengi nchini Tanzania,...

Ni rasmi sasa kwamba Kenya itapeleka polisi 1,000 nchini Haiti baada ya UNSC kutoa idhinisho

NA MASHIRIKA SASA ni rasmi kwamba Kenya itaongoza Kikosi cha Walinda Usalama kutoka mataifa mbalimbali kuelekea nchini Haiti kupambana...

Kenya kujua ikiwa itapeleka polisi Haiti

NEW YORK, AMERIKA NA MASHIRIKA BARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) linatarajiwa kupiga kura kufanya uamuzi kuhusu ikiwa...

Museveni adai jeshi lake liliua wanamgambo

NA MASHIRIKA RAIS Yoweri Museveni wa Uganda Jumamosi, Septemba 23, 2023 alisema kuwa shambulio la ndege lililotekelezwa na jeshi la...

Rais wa Ghana aambia Wazungu walipe Afrika kwa utumwa wa jadi

Na XINHUA NEW YORK, Amerika RAIS wa Ghana Nana Akufo-Addo, amesema Amerika na mataifa ya Uropa sharti yalipe ridhaa kwa Afrika kutokana...

Kagame aweka wazi azma yake ya kuwania tena urais mwakani

NA MASHIRIKA KIGALI, RWANDA RAIS wa Rwanda Paul Kagame amekiri kuwa atagombea tena urais mwaka 2024. Kagame, ambaye alichaguliwa kuwa...

TZ yatakiwa kuondoa adhabu za kikatili katika sheria zake

NA BOB KARASHANI ARUSHA, TANZANIA MAHAKAMA ya Afrika kuhusu Haki za Kibinadamu imeamuru Tanzania kuondoa adhabu za kikatili kutoka kwa...

Hunter amweka babake Rais Biden wa Amerika pabaya kwa tuhuma za uhalifu

NA MASHIRIKA MWANAWE Rais wa Amerika Joe Biden, Hunter Biden, Alhamisi alifunguliwa mashtaka ya kumiliki bunduki kinyume cha...

Mpinzani jela miaka 7 kwa ‘kumtusi’ Rais Tshisekedi

NA MASHIRIKA KINSHASA, DRC MAKAHAMA Kuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imemhukumu mgombea urais Jean-Marc Kabund kifungo...