NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI URUSI imeimarisha usalama katika daraja lake la pekee linaloiunganisha na eneo la Crimea, baada ya mlipuko...
Na AFP ZAPORIZHZHIA, UKRAINE WATU 14 wameuawa katika shambulio la makombora lililotekelezwa na Urusi katika mji wa Zaporizhzhia...
NA CHARLES WASONGA VIONGOZI wa upinzani nchini Uganda wamemsuta mwanawe rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba,...
NA DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA WATU waliopona Ebola wametakiwa kusubiri hadi baada ya miezi mitatu kabla ya kushiriki ngono au...
NA MASHIRIKA KYIV, Ukraine URUSI imedai kuwa raia wa maeneo ambayo imeteka kutoka Ukraine, wamepitisha kura ya kuwa raia wa Urusi,...
NA AFP KIGALI, RWANDA MSHUKIWA wa ufadhili wa mauaji ya halaiki mnamo 1994 nchini Rwanda, Felicien Kabuga, kesho Alhamisi atafikishwa...
NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI POLISI jana Jumatatu walikabiliana na waandamanaji katika eneo la Dagestan nchini Urusi, huku pingamizi dhidi...
NA DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA WIZARA ya Afya nchini Uganda jana Jumatatu ilisema kuwa idadi ya vifo vilivyosababishwa na ugonjwa wa...
NA DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA SERIKALI ya Uganda imesema kuwa visa vya maradhi hatari ya Ebola vimesambaa katika maeneo zaidi nchini...
NA AFP KAMPALA, UGANDA VISA vingine sita vya maambukizi ya Ebola vimegunduliwa nchini Uganda, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) lilisema...
Na MASHIRIKA KYIV, UKRAINE SERIKALI ya Ukraine imeishutumu Urusi kwa shambulio katika kiwanda cha nyuklia. Rais Volodymyr Zelenskyy wa...
NA MASHIRIKA WANADIPLOMASIA pamoja na watetezi wa haki za binadamu, wameongeza shinikizo kwa Umoja wa Mataifa (UN) kuchukua hatua dhidi...