• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Zelensky ashutumu shirika la Amnesty kwa kutuhumu wanajeshi wake

NA AFP KYIV, UKRAINE RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amelishutumu shirika la Amnesty International kwa kudai wanajeshi wa nchi...

UN yatoa tahadhari, njaa kutesa Sudan

NA XINHUA KHARTOUM, SUDAN UMOJA wa Mataifa (UN) kwa mara nyingine umeonya kuhusu uwezekano wa Sudan kushuhudia uhaba mkali wa chakula...

Biden hajapona corona, daktari wake asema

NA MASHIRIKA WASHINGTON, Amerika RAIS wa Amerika Joe Biden hajapona Covid-19 lakini anahisi vizuri bila joto jingi mwilini, asema...

Aliyekuwa kiongozi wa al Shabaab ateuliwa waziri

NA AFP MOGADISHU, Somalia SOMALIA imemteua aliyekuwa naibu kiongozi na msemaji wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Muktar Robow kuwa...

Matumaini meli ya kwanza Ukraine ikisafirisha nafaka

NA MASHIRIKA ODESSA, UKRAINE MELI ya kwanza iliyobeba nafaka jana iliondoka katika bandari ya Odsesa nchini Ukraine, chini ya mkataba...

Mvua kubwa yaua 357 na kujeruhi 400 Pakistan

NA XINHUA ISLAMABAD, Pakistan WATU 357 waliuawa na wengine zaidi ya 400 wakajeruhiwa baada mvua kubwa kushuhudiwa nchini Pakistan kwa...

Zimbabwe yaruhusu biashara ya bidhaa zilizotengenezwa kwa bangi

NA KITSEPILE NYATHI SERIKALI ya Zimbabwe imeruhusu, kwa mara ya kwanza kuuzwa kwa bidhaa za kimatibabu zilizotengenezwa kwa kutumia...

Urusi sasa yasema iko tayari ‘kuokoa’ Afrika

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA URUSI imesema kuwa iko tayari kuiuzia Afrika mafuta na ngano yake bila vikwazo vyovyote. Kauli hiyo...

Urusi yashtaki majeshi ya Ukraine kwa ‘uhalifu’

NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI URUSI imewafungulia mashtaka wanajeshi 92 wa Ukraine kwa tuhuma za uhalifu wa kivita. Msimamizi mkuu wa...

WHO yatangaza homa ya nyani kuwa janga

NA XINHUA GENEVA, USWISI SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza maradhi ya homa ya nyani kuwa janga la kimataifa. Hii ni baada...

Ukraine: Mkataba wasifiwa na US, EU

NA AFP INSTANBUL, UTURUKI AMERIKA (US) na mataifa ya Uropa (EU) yamesifu kutiwa saini kwa mkataba unaoruhusu Ukraine kusafirisha nje...

Hisia mseto Sri Lanka ikipata rais mpya

NA MASHIRIKA COLOMBO, SRI LANKA WABUNGE nchini Sri Lanka wamemchagua Waziri Mkuu Ranil Wickremesinghe kuwa rais mpya wa taifa...