NA KITSEPILE NYATHI HARARE, ZIMBABWE MAASKOFU wa Kanisa Katoliki nchini Zimbabwe wameonya kwamba huenda uchaguzi mkuu wa mwaka 2023...
NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE RAIS Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesimamisha kazi mkuu wa Idara Kuu ya Ujasusi (SBU) na Kiongozi Mkuu...
Na AFP BALI, INDONESIA VITA vinavyoendeshwa na Urusi nchini Ukraine ni tishio kubwa kwa uchumi wa ulimwengu, Waziri wa Fedha wa...
NA MASHIRIKA COLOMBO, SRI LANKA WAANDAMANAJI wanaolalamikia gharama ya juu ya maisha nchini Sri Lanka, Jumatano walielekeza hasira...
NA MASHIRIKA GENEVA, USWISI UMOJA wa Mataifa (UN) utaanzisha uchunguzi kuhusiana na mauaji ya watoto nchini Ukraine, Ethiopia na...
CHARLES WASONGA NA MASHIRIKA RAIS wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa alitoroka Kasri lake Jumamosi kabla ya waandamanaji, waliokerwa na...
NA AFP TOKYO, JAPAN MWILI wa waziri mkuu wa zamani wa Japan uliwasili jijini Tokyo mnamo Jumamosi huku viongozi wa mataifa kadhaa...
NA AFP KASHIHARA, JAPAN WAZIRI Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe jana alikufa akitibiwa hospitalini saa chache baada ya kupigwa...
NA AFP MOGADISHU, SOMALIA RAIS mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud sasa anasema kuwa serikali yake ifanya mazungumzo na kundi la...
NA MASHIRIKA MAMILIONI wanaendelea kuteseka kutokana na gharama ya juu ya maisha huku bei ya mafuta ikizidi kuongezeka kote...
NA WANDERI KAMAU MSAFARA wa kusherehekea Siku ya Kiswahili Duniani umemewasili katika Makavazi ya Kitaifa, Nairobi, baada ya kufanya...
NA MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA ULIMWENGU kesho Alhamisi utaadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani huku kukiwa na wito wa kutaka...