• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Maaskofu wahofia fujo uchaguzi ukitarajiwa 2023

NA KITSEPILE NYATHI HARARE, ZIMBABWE MAASKOFU wa Kanisa Katoliki nchini Zimbabwe wameonya kwamba huenda uchaguzi mkuu wa mwaka 2023...

Zelensky awafuta kazi maafisa akidai usaliti

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE RAIS Volodymyr Zelensky wa Ukraine amesimamisha kazi mkuu wa Idara Kuu ya Ujasusi (SBU) na Kiongozi Mkuu...

Amerika kupunguza mapato ya mafuta yanayotoka Urusi

Na AFP BALI, INDONESIA VITA vinavyoendeshwa na Urusi nchini Ukraine ni tishio kubwa kwa uchumi wa ulimwengu, Waziri wa Fedha wa...

Raia sasa waelekeza hasira kwa waziri mkuu

NA MASHIRIKA COLOMBO, SRI LANKA WAANDAMANAJI wanaolalamikia gharama ya juu ya maisha nchini Sri Lanka, Jumatano walielekeza hasira...

UN kuchunguza mauaji ya watoto katika nchi 3

NA MASHIRIKA GENEVA, USWISI UMOJA wa Mataifa (UN) utaanzisha uchunguzi kuhusiana na mauaji ya watoto nchini Ukraine, Ethiopia na...

Rais ahepa ghadhabu za raia

CHARLES WASONGA NA MASHIRIKA RAIS wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa alitoroka Kasri lake Jumamosi kabla ya waandamanaji, waliokerwa na...

Viongozi duniani waomboleza Abe

NA AFP TOKYO, JAPAN MWILI wa waziri mkuu wa zamani wa Japan uliwasili jijini Tokyo mnamo Jumamosi huku viongozi wa mataifa kadhaa...

Aliyekuwa waziri mkuu wa Japan auawa kwa risasi

NA AFP KASHIHARA, JAPAN WAZIRI Mkuu wa zamani wa Japan, Shinzo Abe jana alikufa akitibiwa hospitalini saa chache baada ya kupigwa...

Tutazungumza na Al-Shabaab kwa wakati mwafaka, asema Rais wa Somalia

NA AFP MOGADISHU, SOMALIA RAIS mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud sasa anasema kuwa serikali yake ifanya mazungumzo na kundi la...

Kilio ulimwenguni bei ya mafuta ikizidi kupanda

NA MASHIRIKA MAMILIONI wanaendelea kuteseka kutokana na gharama ya juu ya maisha huku bei ya mafuta ikizidi kuongezeka kote...

Siku ya Kiswahili Duniani yaadhimishwa kwa njia ya kipekee nchini Kenya

NA WANDERI KAMAU MSAFARA wa kusherehekea Siku ya Kiswahili Duniani umemewasili katika Makavazi ya Kitaifa, Nairobi, baada ya kufanya...

Ulimwengu kuadhimisha Siku ya Kiswahili kesho Alhamisi

NA MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA ULIMWENGU kesho Alhamisi utaadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani huku kukiwa na wito wa kutaka...