• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 7:50 AM

Hafla ya Uhuru yakera maafisa wa Somalia

NA AGGREY MUTAMBO NAIROBI, KENYA RAIS Uhuru Kenyatta alijipata pabaya baada ya kualika maafisa wa jimbo la Somaliland katika dhifa...

Watafiti waibua hofu ya silaha za nyuklia kuzidi

NA AFP STOCKHOLM, USWIDI IDADI ya silaha za nyuklia duniani inatarajiwa kuongezeka katika mwongo mmoja ujao, taharuki na mapigano...

Maradhi ya wanyama hadi kwa binadamu kuzidi – UN

NA AFP GENEVA, USWISI WATAALAMU wameonya kuwa huenda maradhi yanayotoka kwa wanyama hadi kwa binadamu yakaibua janga jingine hatari...

Rwanda yakemea DRC vita vikinukia

NA PATRICK ILUNGA KINSHASA, DRC JESHI la Ulinzi la Rwanda (RDF) limeshutumu wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (FARDC) kwa...

TZ yawarai viongozi wa upinzani walio uhamishoni warejee

NA MWANANCHI DAR ES SALAAM, TANZANIA SERIKALI ya Tanzania imewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Afrika Kusini yaanza mikakati ya kurasimisha Kiswahili

NA XINHUA CAPE TOWN, AFRIKA KUSINI SERIKALI ya Afrika Kusini imeanza mchakato wa kutaka kufanya Kiswahili kuwa lugha ya...

TZ yatia mkataba kufunza Kiswahili katika nchi tatu

NA XINHUA DAR ES SALAAM, TANZANIA CHUO Kikuu cha Dar es Salaam kimetia saini makubaliano na taasisi tatu za elimu ya juu katika...

Urusi yaonya Ukraine isipokee ala nzito za vita

NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI URUSI imetishia kuongeza mashambulio yake nchini Ukraine ikiwa itapokea makombora ya masafa marefu kutoka...

Uhaba mkuu wa mafuta watatiza utoaji misaada

NA XINHUA ADDIS ABABA, Ethiopia UHABA wa mafuta umetatiza shughuli za utoaji misaada kaskazini mwa Ethiopia. Ofisi ya Umoja wa...

Rais Suluhu ampa Lissu marupurupu yake ya ubunge

NA MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA NAIBU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema), Tundu Lissu, amesema serikali ya Tanzania...

Zelensky: Urusi sasa imeteka asilimia 20 ya taifa la Ukraine

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amefichua kuwa wanajeshi wa Urusi wanadhibiti asilimia 20 ya nchi yake...

Njaa: Rais mpya wa Somalia alilia msaada

NA ABDULKADIR KHALIF MOGADISHU, SOMALIA RAIS mpya wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud ametoa wito kwa raia kuchangia katika mpango wa...