NA MASHIRIKA GENEVA, Uswisi VISA 1,400 vya ndui ya nyani (monkeypox) vimeripotiwa katika nchi saba za Afrika mwaka huu, kwa mujibu wa...
NA XINHUA KHARTOUM, SUDAN UMOJA wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU) na Shirika la Maendeleo la IGAD, zimepongeza hatua ya utawala wa...
NA MASHIRIKA BERLIN, UJERUMANI UFARANSA na Ujerumani zimemrai Rais Vladimir Putin wa Urusi kufanya mazungumzo ya kina na ya moja kwa...
NA LEONARD ONYANGO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imeagiza kukamatwa kwa magari na mali ya serikali inayotumiwa na wanasiasa...
NA AFP BANJUL SERIKALI ya Gambia imemfungulia mashtaka ya mauaji rais wa zamani wa nchi hiyo Yahya Jammeh kulingana na mapendekezo ya...
NA AFP DAKAR, SENEGAL RAIS wa Senegal Macky Sall amemfuta kazi waziri wake wa afya, Abdoulaye Diouf Zarr baada ya watoto wachanga 11...
NA MASHIRIKA DAKAR, SENEGAL WATOTO kumi wachanga Alhamisi walifariki kwenye moto mkubwa uliotokea katika hospitali moja, mjini...
NA AFP TEXAS, AMERIKA WATU 21, wakiwemo wanafunzi 19, waliuawa Jumanne, baada ya mshambuliaji kufyatua risasi kiholela kwenye shule...
NA MASHIRIKA GENEVA, USWISI KATIBU Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus (pichani) , amechaguliwa tena...
NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE URUSI Jumamosi ilichapisha majina ya watu 963 maarufu kutoka Amerika, ambao imewapiga marufuku kusafiri...
NA MASHIRIKA WATU 9 milioni hufa kila mwaka kote duniani kutokana na uchafuzi wa mazingira, utafiti mpya unaonyesha. Utafiti...
NA AFP WASHINGTON, Amerika RAIS wa Amerika Joe Biden ameamuru kupelekwa kwa wanajeshi wa nchi hiyo nchini Somalia kusaidia katika...