• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 2:24 PM

Urusi yatishia kuzusha Vita vya Tatu vya Dunia iwapo mataifa ya Magharibi yataendelea kupeleka silaha Ukraine

NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI URUSI imetishia kuanza vita vya dunia iwapo mataifa ya Magharibi ikiwemo Amerika, yataendelea kutoa msaada...

DRC yatangaza kuzuka kwa maradhi ya Ebola

NA MASHIRIKA KINSHASA, DRC MAAFISA wa serikali nchini DR Congo wametangaza kuzuka kwa maradhi hatari ya Ebola, baada ya kisa kimoja...

Macron ashinda duru ya pili ya uchaguzi wa urais

NA MASHIRIKA PARIS, UFARANSA RAIS Emmanuel Macron wa Ufaransa ataanza kuhudumu kwa kipindi cha pili kama rais, baada ya kutangazwa...

Ukraine yaomba Urusi kukubali mazungumzo

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE UKRAINE imeiomba Urusi kuandaa kikao cha “mazungumzo maalum” kuhusu mkakati wa kuwahamisha wapiganaji...

Zelensky amkashifu Guterres kwa ziara nchini Urusi kwanza

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE RAIS Volodymyr Zelensky wa Ukraine, Jumamosi alikashifu vikali hatua ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa...

Mawaziri 54 kukutana Nairobi kujadili athari za corona kwa elimu

NA BENSON MATHEKA MAWAZIRI 54 wa Elimu, ni miongoni mwa watungaji sera wanaotarajiwa kukutana Nairobi kwa kongamano la 21 la Mawaziri wa...

Marais wa mataifa ya Afrika Mashariki pia waomboleza Kibaki

NA HILARY KIMUYU MARAIS na viongozi kutoka mataifa ya Ukanda wa Afrika Mashariki pia wameunga na Wakenya kuomboleza kifo cha rais wa...

Ukraine yalalama Urusi inaua na kuzika maelfu ya raia wake

NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE WANAJESHI wa Urusi wanaaminika kuua maelfu ya raia wa Ukraine mjini Mariupol na kuwazika katika kaburi la...

Majadiliano ya DRC, waasi yakosa kufanyika jijini Nairobi

NA THE EASTAFRICAN SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na makundi ya waasi nchini humo jana Ijumaa walitarajiwa kutua...

Mzee ajaaliwa mtoto akiwa na umri wa miaka 83

THE MONITOR KAMPALA, UGANDA KWA muda wa miaka 56 ya ndoa yake, Yosia Mwesigye, 83, alingoja na kuomba kupata mtoto bila...

Abiria 60 waponea chupuchupu ndege yao ikipoteza mwelekeo

NA DAILY MONITOR ENTEBBE, UGANDA ABIRIA 60, wakiwemo wanawake 20 kutoka Rwanda waliokuwa wakihudhuria sherehe ya kuzaliwa ya mwana wa...

Mamilioni katika hatari ya kufa njaa Kenya, Ethiopia…

NA AFP NEW YORK, AMERIKA WATU milioni 20 katika nchi tatu za upembe wa Afrika, ikiwemo Kenya, wako katika hatari ya kuangamia...