• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 5:01 PM

Rais Samia Suluhu avunja bodi ya Tanesco kufuatia kupotea kwa umeme

NA CHARLES WASONGA RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alichukua hatua ya kijasiri zaidi kwa kuvunja bodi ya Kampuni ya Usambazaji...

Jinsi Rais Joe Biden alivyonusurika gari lilipogonga msafara wake

NA MASHIRIKA WASHINGTON, MAREKANI RAIS wa Marekani Joe Biden alipelekwa upesi eneo salama baada ya gari moja nje ya safari ya...

Mudavadi asema Kenya, DRC haziko katika mgogoro wa kidiplomasia

NA TITUS OMINDE SERIKALI ya Kenya haiko katika mgogoro wa kidiplomasia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Kinara wa Mawaziri na...

Amerika yaanza kunawa mikono kuhusu vita vya Israel ukanda wa Gaza

WASHINGTON, MAREKANI NA MASHIRIKA RAIS wa Marekani Joe Biden alisema siku ya Jumanne kwamba Israel inapoteza uungwaji mkono na mataifa...

Mwanawe Rais wa Somalia atoroka Uturuki baada ya kuua bodaboda

Na MASHIRIKA MWANA wa kiume wa Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, Mohammed Hassan Sheikh Mohamud, aliyedaiwa kugonga na kumuua...

Bobi Wine ashambuliwa kwa madai yake kuhusu sheria ya ushoga Uganda

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA MWANASIASA wa Uganda Robert Kyagulanyi almaarufu Bobi Wine, amekosolewa vikali kwa kudai kwamba Rais...

Mkenya wa miaka 52 ashtakiwa Amerika kwa kupanga kuua bibi yake 

NA MWANGI MUIRURI  MWANAMUME Mkenya ameshtakiwa nchini Amerika kwa makosa ya kujaribu kupanga njama kuua mwanamke wa familia yao. Bw...

Waliohusika na sheria dhidi ya ushoga Uganda kunyimwa kibali cha kuingia Amerika

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA AMERIKA ilidokeza Jumatatu kuwa itafutilia mbali viza za maafisa wa Uganda ambao walihusika na sheria tata...

COP28: Wanaharakati wakubaliwa kuandamana kupinga matumizi ya visukuku, machafuko Gaza

NA JACOB WALTER Akiwa DUBAI, UAE HATIMAYE wanaharakati wamekubaliwa kuandamana jijini Dubai katika Milki za Kiarabu (UAE) ili kutoa...

Israel yaanza tena kulipua Gaza muda wa kusitisha mapigano ukifika mwisho

NA AFP ISRAEL, JERUSALEM JESHI la Israeli limeanza tena mapigano Gaza, huku mashambulizi ya anga na risasi yakiripotiwa katika mji wa...

Ajuza wa miaka 70 akaidi sayansi na kujifungua mapacha

KAMPALA, Uganda NA DAILY MONITOR MWANAMKE mwenye umri wa miaka 70 ameshangaza wengi baada ya kujifungua pacha na kukaidi sayansi kwamba...

Milio ya risasi kutulia kwa muda katika Ukanda wa Gaza

NA MASHIRIKA JERUSALEM, ISRAELI PANDE hasimu za Israeli na kundi la Hamas zimekubali kurefusha muda wa kusitisha mapigano kwa siku mbili...