Na CHARLES WASONGA HATIMAYE kiongozi wa upinzani Raila Odinga amevunja kimya chake kuhusu mgomo wa madaktari kwa kuitaka serikali...
NA JURGEN NAMBEKA MWANAMKE katika eneo la Madzindani, Kaunti ya Kilifi na mwanawe mwenye umri wa miaka miwili walifariki katika mkasa wa...
NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI wa filamu za Nollywood Junior Pope Odonwodo, almaarufu Jnr Pope ameaga dunia baada ya boti alilokuwa akitumia...
UKANDA WA GAZA NA MASHIRIKA WANA watatu wa kiongozi Mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh waliuawa katika shambulizi la anga lililotekelezwa na...
EDNA MWENDA NA FATUMA BARIKI TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imetamatisha upelelezi dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa...
NA FRANCIS MUREITHI BINTIYE rais mstaafu hayati Daniel Moi, Bi June Chebet aliaga dunia Alhamisi akiwa na umri wa miaka 60. Bi Chebet...
NA KALUME KAZUNGU MILIHOI ni miongoni mwa maeneo ambayo yalikuwa yameanza kujenga sifa nzuri siku za hivi karibuni baada ya miaka mingi ya...
SOPHIA WANJIRU NA WANDERI KAMAU BEI ya vitunguu imepanda mjini Nyeri kutokana na kupungua kwa mavuno ya zao hilo. Hali hiyo imetajwa...
NA TITUS OMINDE VIONGOZI wa Kiislamu kutoka eneo la North Rift wameihimiza serikali ya kitaifa kuangazia matakwa ya madaktari ili...
NA TITUS OMINDE MWANAPATHOLOJIA Mkuu wa Serikali, Dkt Johansen Oduor mnamo Jumanne, Aprili 9, 2024 aliambia Mahakama Muu mjini Eldoret...
NA CHARLES WASONGA AFISA wa Upelelezi wa Jinai na Uhalifu (DCI) Jumatano, Aprili 10, 2024, alikamatwa na maafisa wa Tume ya Maadili na...
NA RICHARD MUNGUTI KUSIKIZWA kwa kesi ya ulaghai wa shamba la Sh1.35 bilioni dhidi ya aliyekuwa Naibu Kamishna wa Nairobi, Davis Nathan...