• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Serikali yaambia Uhuru: Tumia ile afisi ya Kibaki lau sivyo usahau kulipiwa kodi

NA DAVID MWERE MVUTANO unatokota baina ya serikali ya Rais William Ruto na aliyekuwa kiongozi wa taifa Uhuru Kenyatta kuhusu chaguo la...

Polisi shujaa aliyesombwa na mafuriko akiokoa raia Muthurwa bado hajapatikana

Na MERCY KOSKEI FAMILIA ya polisi aliyesombwa na mafuriko jijini Nairobi baada ya mvua kubwa kunyesha, inaitaka serikali kuongeza juhudi...

Mnataka nijiuzulu? Mtasubiri sana, Nakhumicha aambia wakosoaji

NA SHABAN MAKOKHA WAZIRI wa Afya, Susan Nakhumicha, amewahakikishia Wakenya kwamba mazungumzo baina ya serikali na wahudumu wa afya...

Serikali mbioni kununua silaha mpya za kisasa kukabili ongezeko la uhalifu

NA STEVE OTIENO KENYA imo mbioni kununua silaha za kisasa za kivita kukabiliana na ongezeko la uhalifu nchini. Wiki iliyopita, Waziri wa...

Si mbolea feki tu, dawa za kupulizia mimea pia zimepatikana kuwa na sumu

NA FRANCIS MUREITHI HUKU serikali ikikiri kwamba wakulima waliuziwa mbolea ghushi mwezi jana, uchunguzi mpya unaonyesha kuwa wanakodolea...

Somalia yaambia balozi wa Ethiopia akanyage nje huku uhasama ukizidi kutokota

NA ABDULKADIR KHALIF SOMALIA imefurusha balozi wa Ethiopia nchini humo huku uhasama ukiendelea kutokota kati ya nchi hizo mbili kutokana...

Ni kweli, wakulima wameuziwa mbolea feki, Serikali yaungama ikiahidi kuishtaki kampuni

Na FATUMA BARIKI Serikali sasa imekiri kwamba mbolea isiyo ya viwango sahihi vya ubora ilisambaziwa wakulima. Katika taarifa kwa...

Biden aendelea kumchoka kabisa Netanyahu kwa jinsi ‘anavyolipua raia’ Gaza

Na MASHIRIKA WASHINGTON, Amerika RAIS wa Amerika Joe Biden ameitaka Israel kulinda raia wa Palestina na wafanyakazi wa mashirika ya kutoa...

Bei ya Omena yapanda maradufu kutokana na gharama ya maisha

Na KASSIM ADINASI BEI ya samaki aina ya dagaa almaarufu Omena, imepanda maradufu kutokana na kuongezeka kwa gharama ya maisha na mvua...

Sita waugua kwa kunywa maji ya sumu

NA KNA WATU sita wamelazwa hospitalini baada ya kunywa maji ya kisima yanayoshukiwa kuwa na sumu katika kijiji cha Ndemra, Kaunti ya...

Ahadi ya Ruto kugawia Taita-Taveta mapato ya mbuga ya Tsavo yafifia

NA LUCY MKANYIKA SERIKALI imeashiria kubadilisha mawazo yake ya kuipa Kaunti ya Taita Taveta mgao wa asilimia 50 ya mapato kutoka kwa...

Ruto aanza kupigia debe Raila apate kiti cha AUC

Na JUSTUS OCHIENG JUHUDI za Rais William Ruto za kumvumisha kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga kama chaguo bora kwa...