• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Pombe: Hoteli 5 zafungwa msako ukiendelea

NA STEPHEN MUNYIRI HOTELI tano za hadhi mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri, zilifungwa Jumatano baada ya Rais William Ruto kuzuru kaunti hiyo...

Sakaja awasilisha mswada wa kuongeza urefu wa majumba

NA NDUBI MOTURI GAVANA Johnson Sakaja (pichani) amechukua hatua za kurasimisha pendekezo lake la kuondoa hitaji la kikoloni, kwamba...

Afisi za UDA Bondo zachafuliwa na wahuni

NA KASSIM ADINASI VIJANA wenye hasira mnamo Jumatano walivamia jengo la afisi za UDA katika eneobunge la Bondo, Kaunti ya Siaya na...

Serikali yaondoa hofu ya mlipuko wa Covid-19

NA WANDERI KAMAU WIZARA ya Afya imepuuzilia mbali hofu kwamba ongezeko la maradhi ya kupumua nchini limetokana na urejeo la maradhi ya...

Elimu: Taita Taveta yakabiliwa na uhaba wa walimu, mimba za mapema

NA ANTHONY KITIMO SWALA la uhaba wa walimu na mimba za mapema kwa wanafunzi limetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kudorora kwa viwango za...

Polisi wasaka mwanamume aliyetoa orodha ya anaolenga kuua

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang’a wanamsaka mfungwa za zamani ambaye ametoa orodha ya watu 10 anaopanga kuua katika...

Maafisa wachunguza vifo vya watu wawili Makadara

NA SAMMY KIMATU MAKACHERO katika Kaunti ndogo ya Makadara wanachunguza visa viwili kuhusu watu wawili kufariki katika maeneo...

Chelogoi aonywa dhidi ya kuingiza siasa katika kesi

NA RICHARD MUNGUTI ONYO kali limetolewa dhidi ya aliyekuwa naibu mkuu wa mkoa wa Nairobi Davis Nathan Chelogoi kwamba atajua kilichomtoa...

Serikali yasitisha zabuni za mashirika ya umma kukata matumizi

NA BRIAN AMBANI SERIKALI imepiga marufuku zabuni ya ununuzi wa vifaa vyenye nembo za idara mbalimbali za serikali, kama njia ya...

Serikali ya Taita Taveta vitani kukomboa Mtito Andei na Mackinnon Road

NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta imeagiza wafanyabiashara walioko katika miji yenye utata ya Mtito Andei na Mackinnon...

Mapango ya hongo yaangaziwa katika ripoti ya EACC, Nyamira ikiwika

NA BENSON MATHEKA IKIWA unataka huduma ya aina yoyote katika serikali ya kitaifa na kaunti hasa Nyamira, Baringo, Siaya, Bungoma, Turkana,...

Buriani Rita Tinina

NA JOHN NJOROGE MWANAHABARI mashuhuri na aliyekuwa Mhariri katika runinga ya NTV Rita Tinina alizikwa Jumatano nyumbani kwao katika...